jmwenyekiti wa CUF wilaya ya tandahimba katani Ahmed katani leo anatarajiwa kukabidhiwa kadi za chadema ambazo majuzi tu wanachama hao walijiunga na chama hicho mtwara mjini, ambapo wengi wao wanasema walikuwa hawajui chama hicho kina ubaguzi wa udini na ukabila kwa hiyo wameamua kurudi kwenye chama chao ni vijana wengi wapatao karibu 330 ambao wapo hapa ofisi ya wilaya ya CUF mtwara mjini.