jamani this wk jf siyo kabisa aisee...........yani ukienda mmu wakutana na mimambo inayoamsha hisia za matusi tu ukirudi chit chat na kwenyewe hivo hivo. lol...........hapa nikae kimya nikishuka lazima MODS waupeleke kuleee.
sweetlady kwa nini unajigonga hivo kwa mbaya wangu Nyani Ngabu?Hehehehe atoe wapi hela ya pampas?.......unamjua Nyani Ngabu wewe?
Bado naendelea kukuitroduce kwa jf memba sawa eeh!
Babu J wewe chai tu.
Nakuharibu kwa kukutia tui tu.
Una nini wewe? Mali hunazo tena. Akili hujawahi kuwa nazo.
Ngoja nisuke dili na Shualina aje akupukutishe kabisa ufulie na ufubae.
Nyani Ngabu aka joka la kibisa,umjue ili iweje?Wala sio hivyo hata kidogo. Ni ufatashi wangu tu wa kutaka kujua zaidi kuhusu huyu mwanachama mupya.
sweetlady kwa nini unajigonga hivo kwa mbaya wangu Nyani Ngabu?
mimi na wewe ni kitu kimoja
haina mana
haina mana
kugombana!
Nyani Ngabu aka joka la kibisa,umjue ili iweje?
nanhii nasikia karibu anaolewa,kanambia amekuacha kisa unangata tu sumu huna.
Aaah haya bana. Mwambie namtakia kila la kheri. Nilijaribu kwa kadri ya uwezo wangu lakini kwake ikawa haitoshi. Bilionea la Kihaya likaja likanipokonya.
Kwa hiyo wewe siku hizi ndo "Gentleman"?
Dah! Nyani Ngabu,are you serious? Hii njemba kuna wakati ilirusha ndoano 'love connect' ,haiwezekani,halafu ku.....ma......ye ilijitia inataka kuoa,sio kwamba zilikuwa ni kamba tu?
:nono: hapa sio,Nitooooooooooooonye inaelekea mkeo ameku:israel::israel::israel::israel::israel:
mjaribu uone mziki wake, harest in peace leo wala kesho! mumuache miaka 200! lol
Stimu ya nini,kwani mnafanya nini saizi?