Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,196
Kwanza hapa nategemea mawe na madongo kutoka kwa ndugu yangu Smatta.
Kuna mtu mmoja huko Kenya anaitwa Charles Njonjo, sijui kama bado yupo hai, yeye alisema anawasiwasi sana kupanda ndege anayeoendesha mwafrika. Alikuwa haamini kama kweli mwafrika anastahili au ana uwezo wa kuendesha ndege, lakini Smart kenyans put thumbs up his... by letting KQ hire a number of natives to pilot jumbos. Kama amekufa basi he is kicking his legs in the grave.
Kuna wengine huwa hawana hata aibu wapoongea kiingereza wanasema wanaongea kizungu (literaly meaning whitesh), wanasahu kuwa hata kifaransa, kireno, kitaliana, kiswede nk pia ni-Kizungu. Ajabu wengine eti wanaona aibu kuongea gikuyu, kikamba au kiluo kwa kuwa hawataonekana kuwa wamesoma.
Dada yangu pale kutoka Naorobi alimkataa jamaa mmoja Mkenya eti kwa kuwa amepata Bwana mmoja wa kizungu, jamaa mwenyewe huyo mzungu alikuwa amechoka kweli, lakini alimchangua kwa kuwa ni mzungu. Na huyu ndugu yangu mzalendo alipata bibi mwingine mzuri tu ambaye mpaka sasa wapo wote wanaendelea vizuri, huyu dada yangu hata sitaku kusema aliishia wapi.
Wengine ajabu sana hata wapoongeza kiingereza (wao huita Kizungu) the try so hard to Americanize or britanize it, as a result they turn themselves into a laughing stock.
Smatta naomba kwa leo niishie hapa.....tell me if this is lie, and tell me whether this is what makes you call yourself proud Kenyan, a better man than your brother across the southern border.
Kuna mtu mmoja huko Kenya anaitwa Charles Njonjo, sijui kama bado yupo hai, yeye alisema anawasiwasi sana kupanda ndege anayeoendesha mwafrika. Alikuwa haamini kama kweli mwafrika anastahili au ana uwezo wa kuendesha ndege, lakini Smart kenyans put thumbs up his... by letting KQ hire a number of natives to pilot jumbos. Kama amekufa basi he is kicking his legs in the grave.
Kuna wengine huwa hawana hata aibu wapoongea kiingereza wanasema wanaongea kizungu (literaly meaning whitesh), wanasahu kuwa hata kifaransa, kireno, kitaliana, kiswede nk pia ni-Kizungu. Ajabu wengine eti wanaona aibu kuongea gikuyu, kikamba au kiluo kwa kuwa hawataonekana kuwa wamesoma.
Dada yangu pale kutoka Naorobi alimkataa jamaa mmoja Mkenya eti kwa kuwa amepata Bwana mmoja wa kizungu, jamaa mwenyewe huyo mzungu alikuwa amechoka kweli, lakini alimchangua kwa kuwa ni mzungu. Na huyu ndugu yangu mzalendo alipata bibi mwingine mzuri tu ambaye mpaka sasa wapo wote wanaendelea vizuri, huyu dada yangu hata sitaku kusema aliishia wapi.
Wengine ajabu sana hata wapoongeza kiingereza (wao huita Kizungu) the try so hard to Americanize or britanize it, as a result they turn themselves into a laughing stock.
Smatta naomba kwa leo niishie hapa.....tell me if this is lie, and tell me whether this is what makes you call yourself proud Kenyan, a better man than your brother across the southern border.