kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Mnatuchanganya mbona?Huyu mbona ana taarifa tofauti?https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mkuu-wa-wilaya-igunga-chadema-chashinda.html
usimsikilize ni lile ffungu la kikundi cha propaganda la nape ambalo wanagombania kati yake na mukama.Ni fungu nono ambalo vijana wanapewa kufanaya propagada hata za kijinga kutetea meli ziendelee kuua watu.Kiukweli hana shitaka tena, na ksei yao imefutwa na haitaendelea tena katika mahakama yeyote.waache waropoke na propaganda za kijinga .Vijana sikileni , jitahidini kweka thread za kusaidia umma kimaslahi ya taifa na si kuwa jukwaa la umbeya wa kijuweni bila uthibitisho.