Ugonvi haukuhusu ya nini kutangazia ulimwengu kuwa unaunga mkono uvamizi wa kuwasaka na kuwaangamiza magaidi, huoni kama utajiletea matatizo ndani ya nyumba yako? Kwani huwezi kuunga mkono kimya kimya. Tusiichezee amani tuliyonayo.
Ugonvi haukuhusu ya nini kutangazia ulimwengu kuwa unaunga mkono uvamizi wa kuwasaka na kuwaangamiza magaidi, huoni kama utajiletea matatizo ndani ya nyumba yako? Kwani huwezi kuunga mkono kimya kimya. Tusiichezee amani tuliyonayo.
yanakuhusu sana tuhayanihusu!
Hayo ni maazimio ya AU kupambana na Al-Shabaab kwa pamoja. Lakini pia utambue kwamba hawa magaidi hawachaguzi , huyu kasema ndiyo tumpige na yule hajasema tumuache. Sote tunapaswa kuuunga mkono kauli hiyo kwa vitendo yaani kuwa walinzi wa nchi yetu kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi pale tunaposikia au kuona dalili zozote za kuwepo kwa watu wa aina hii nchini mwetu.
Mamndenyi mbony tsangameny? Kwel kishanuka hapo kitaeleweka 2
nashisha,
lazima kieleweke mkuu.
usibishe jamani mi siyajui !!!kweli tena!yanakuhusu sana tu