Lizy, sio kwamba tumepigwa chini, hasha lakini ndivyo ilivyo kwa wengi wao. Nikupe tu mfano mmoja wa halisi.
Siku moja ktk mishemishe zangu nilikuwa natokea posta dar kuelekea mtongani. Nliingia kwenye daladala. Wakati nimekaa pale akaingia binti mmoja mzuri sana; kwa kweli ni mzuri sana. Kwa bahati alikuja akiakaa na mimi. Japo aliingia na kaka mmoja ambaye kimtizamo wa harakaharaka na mpenzi wake hata hivyo baada ya yule kaka kumuita wakae wote kwenye sit bint alikataa na kuendelea kubaki na mimi.
Mkononi alikuwa ameshika sim na punde ikaingia msg ambayo niliisoma bila yeye kujua ninaisoma kwa nama alivyokuwa ameishika sima, msg ilitoka kwa adam nayo ilisomeka hivi "hney mambo vp? Uko wapi mpenz, nimekumis." akareply hivi "dea niko nyumbani naosha vyombo nitafute badae baadae" then akazifuta zote.
Punde ikaingia msg nyingine ilitoka kwa stephn "hey darling i wanna come to see you this afternoon. Upo hom?" akajibu "mama ameniagiza mpenz niende kwa shangazi lkn nitakupitia jion" then akafuta zote.
Akapigiwa simu lakin this tim ilikuwa namba tu ila aliikata sim na kujibu kwa msg "ndo natoka nyumba nyumbani mpenz hop baaada ya 1hr nitafika" this time nikawa nimefika safari yangu so sikujua tena kilichoendelea nikashuka.
Lizy umeona???? Tafakari. Huyo ni mmoja tu ninao wengi nimewaona wa design hii au kwa style nyingine.
Pole sana kwakujumuishwa nadhani Mtoa Mada alisahau aka generalise.Ni kweli Tabia zinatofautiana na vitu vinavyo influence Mtu kuwa fulani ni pamoja na Vitu vinavyotokana na Kurithi(inheritance) pamoja na Mazingira.So ukichambua aspect ya Mazingira utakutana na mambo mengi sana kwahiyo sio vyema kufanya judgement moja kwa moja nivyema kufanya uchunguzi kwanza.Digna keep on being Good lady/Woman.Uongo mtupu! Samaki mmoja akioza hawaozi wote. Mbona mimi siko hivyo???? Au wengine warembo wazuri ninaowafahamu wengi tu ni wanawake wanaojiheshimu? Kwenye hizo kasoro ulizotaja mbona kuna kila sampuli ya wanawake, wembamba, wanene, wafupi, warefu, warembo, wazuri, vipusa, wa kawaida, wenye sura za kiume lakini wanawake, wenye miguu miembamba, minene, n.k. Acheni ku-generalise habari na kutupaka ma...V *i visingizio kibao. Ukipigwa kibuti na mdada mrembo sio kwamba wote wana tabia mbaya. Niko kwenye kundi la hao wadada na sina tabia hizo mnazozitaja. Hizi ni SIZITAKI MBICHI HIZI style. Ghhrrrrrr! :car: