Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Walimu tunafanya kazi katika mzingira haya
.Hatuna vitambulisho vya kazi tulio wengi.
.Barua za kusibitishwa kazini
.TSD No
.Kadi za bima ya afya hatuna,wakati hela tunakatwa n.k
hebu fuatilia Rufiji fanya utafiti mashuleni,ukipita halmashauri watakudanganya, hivyo vitu ni muhimu sana kwetu.
.Hatuna vitambulisho vya kazi tulio wengi.
.Barua za kusibitishwa kazini
.TSD No
.Kadi za bima ya afya hatuna,wakati hela tunakatwa n.k
hebu fuatilia Rufiji fanya utafiti mashuleni,ukipita halmashauri watakudanganya, hivyo vitu ni muhimu sana kwetu.