King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
funguka ..unamuogopa nani?
kuna mwalimu wangu humu. Ila endelea ku-keep ya kwako silent. Wakiamka watakushauri jinsi ya kumfanya yake aweke loud AMA aondoe network kabisaa
funguka ..unamuogopa nani?
:eek2::eek2::eek2::wacko::wacko::wacko:
Kwa nini uko single sasa hivi?
Nilitaka kujua kama hayo hapo in boldMimi simu yangu masaa 24 iko kwenye SILENT,kwa hiyo hainisumbui kam patner wangu(ingawa kwa sasa sina) sımu yake ikiwa kwenye SILENT MODE/PROFILE,
Ila nataka kujua wewe unawachukuliaje watu ambao simu zao always ziko kwenye SILENT especial km ni mtu uliye kwenye mahusiano naye..
kuna mwalimu wangu humu. Ila endelea ku-keep ya kwako silent. Wakiamka watakushauri jinsi ya kumfanya yake aweke loud AMA aondoe network kabisaa
How do you pronounce your username? Kalow au Kaluu?-mi niko single-,sema nataka kujua mawazo ya wanajamvi kuhusu hili suala..
Hoe do you pronounce your username? Kalow au Kaluu?
Nilitaka kujua kama hayo hapo in bold
yanahusiana na mada kabla ya kumjibu
yawezekana silent mode haimuudhi yeye
precisely because hana partner (could be)
Na kwa nini aliweka hayo maneno hapa?
Is there a link with the topic discussed???
How do you pronounce your username? Kalow au Kaluu?
asante, kidole kilitereza.How....hoe is a garden tool.
lengo halikukamilika basi. all you have achieved is to raise more questions now...intention ya kuweka hayo maneno hapo kutaka discusion isiwe km king'asti alivyochangia hapo juu,....
Mwali, kusikia tu yuko single tayari umeshafika huko...mwe!!How do you pronounce your username? Kalow au Kaluu?
So you speak a latino language?kaluu....
chuna kwanza...Mwali, kusikia tu yuko single tayari umeshafika huko...mwe!!
lengo halikukamilika basi. all you have achieved is to raise more questions now...
kwa nini huna mewnzako? mara ya mwisho kuachana na mpenzio mlikosana nini?
breakup process ilianza kwa kutokana na sim? ulisoma message? au yeye alisoma?
Kwa nini uliamua kutoangalia sim ya mpenzio (ukimpata) na yeye asiangalie yako?
Cheater cheater kama mnaishi wote ndoa au bila kwa ndoa...
Mwali, kusikia tu yuko single tayari umeshafika huko...mwe!!