Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu sijui itaisha lini kwa wazungu vichwa maji.!
Hivi who cares kama mtu anakuita wewe monkey au gorilla au anakuona a lesser being (hilo ni tatizo lake na akili yake ya zama za kale)Hii kitu sijui itaisha lini kwa wazungu vichwa maji.!
Hivi who cares kama mtu anakuita wewe monkey au gorilla au anakuona a lesser being (hilo ni tatizo lake na akili yake ya zama za kale)
Jinsi ya kuwashinda watu kama hawa ni kuwaacha wapige kelele zao na wewe kufanya kazi yako (in case of football let your skill do the talking na uwapige mabao) mwisho wa siku watakupenda tu.., ila ukileta hasira sio kwamba ndio watakupenda
Anyway hivi ukiitwa a monkey ndio unakuwa a monkey ?
wazungu ni washenzi sana kaka mbona wao wana ngozi kama nguruwe sisi hatusemi na sisi tungeanza kuwaita nguruwe naamini wataacha tuanze kuimba kwa nguvu zetu zote wataacha upuuzi wao.Usikubali kudhalilishwa, aliye kuumba kakuumba kama mwanadamu iweje ukubali kuitwa monkey?
Hawa jamaa ni wabaguzi, huo ndo ukeweli wala usijaribu kuwatetea.
Usikubali kudhalilishwa, aliye kuumba kakuumba kama mwanadamu iweje ukubali kuitwa monkey?
Hawa jamaa ni wabaguzi, huo ndo ukeweli wala usijaribu kuwatetea.