Kule kwenye FORUM yako umeanzisha thread unasema Dr DAU apelekwe Bandari kwa kudai hivi:
SOURCE HAPA:
Dr. Dau kupelekwa Bandari kuiokoa? - Page 2 - MwanaKijiji.COM
mwanakijiji huu ni UNAFIKI wa highest order!
wewe huyo huyo miezi michache iliyopita ulikuwa na kampeni Dr DAU afukuzwe na hafai all along leo ghafla Dr Dau anafaa? au ndio njama Dr Dau asikamilishe malengo ya NSSF ya kumaliza University Dodoma ambako watoto wa walalahoi wanasoma na Daraja la Kigamboni kuwakomboa wasio na pesa za kuishi Detroit kama wewe mwanakijiji? Kinachowaudhi hasa ni nini? hutaki NSSF chini ya Dau iache landmark ya miaka ijayo? maana inavyoelekea hilo ndilo msilolitaka.Wapo watanzania wengi tuuu AMBAO WANGEWEZA KWENDA BANDARI na wakaisort out . Jamani DR DAU SI MWARUBAINI!
Nadhani tatizo lako unakaa sana nje na kupiga makelele bila kujua hali halisi ilivyo on the ground hivi ushaona wanachokifanya NSSF kule Dodoma au ushaona walivyo wafanya polisi pale Keko?
Kila mtu anajua matatizo ya Bandari kwa kiasi kikubwa yanatokana na TRA mbona husemi Dr Dau apelekwe TRA akakusort out au basi tuu?
Kama huna la kusema kaa kimya....naona leo lazima utakuwa umekesha!! Mayn, yaani unafanyia ndalilo.....
Akheri mimi nakesha nyumbani kuliko wewe unayekesha kufunga vidonda vya walevi....ndio umetoka shift yako nini?
Nyani Ngabu;
Hakika mnasikitisha sana, watu wazima kama ninyi kukashifiana hapa jamvini si vema, sisi wenzenu tunataka kujua kinachoendelea pale bandarini ninyi mnaleta mzaha, be carefull na yale mnayoyabandika hapa,
Nyani Ngabu; siku zote huwa naona kama michango yako imekwenda shule sasa pale unapoanza kutoa lugha chafu, mnaifanya forum hii ionekane kama likijiwe la wahuni furani.
unajizeesha tu!
Lakini Game kwani hayo ni maneno ya Mwanakijiji au ni maneno ya mnukuliwa (chanzo)? Au sijaelewa vizuri hiyo nukuu uliyoiwekea rangi nyekundu?
GT huo ndo uwezo wa muungwana katika kupanga safu ya wasaidizi wake. kwa kweli hyu dk kawambwa simwelewi kabisaaaaaaa. jk anambeba kwa kuwa sijui ni ndugu au ndo mtandao ila jamaa umanager HAWEZI. halafu amempatia wizara muhimu na yenye masilahi makubwa kwa taifa kama reli, bandari, ndege, barabara nk.al muhimu ni kuwa nilituma Kontena mwezi wa 11 toka Hanoi mwishoni mwa mwezi wa 11 na kilichotokea ni kuwa mpaka leo naambiwa bado meli haijapewa nafasi ya kuingia...to be fair wanaotuma magari dogo wao meli zao zinapata nafasi hivyo kama kuchelewa ni miezi miwili
Hivi unaweza kuamini kuna watu waliagizia miti ya krismass na mpaka leo kontena zao haizija teremshwa? Kisa Bandari imejaa
Unajua LUHIGO japo alikuwa ni mshenzi mshenzi na mla rushwa enzi zake lakini JAMAA KAZI ALIKUWA NAFANYA....i am not gonna knock him him down
sasa kwa taarifa yako niliagiza 40ft container nyingine wakati huo huo lakini ilikuwa inatokea Ghuanzhou na ilichukua only 1 month na niliteremshia Mombasa ambako it only took 24 hrs contena likawa lishapita kule border HORO HORO...sipendi ku confess lakini kwanza nililipa less,pili sikusumbuliwa na TRA kama ambavyo ningesumbuliwa Dar na mzigo ushakwisha
Inaniumz akuwa serikali imekosa pesa nyingi toka kwangu kwa sababu ya uzembe wa hao niliowataja kwa sababu wanaogopa kuwaambia TICS kuwa wamebreach contract yao na kazi wameshindwa WHY ? kwasababu zaidi wanamwogopa ROSTAM na kampuni yake...jambo ambalo Jakaya hana kinyongo in the wake of huu ufisadi left and right
Suggestion yangu ni kuwa mindhali KIMEI wa CRDB au jule bosi wa TRA wanafanya kazi nzuri tuuu kwa nini JK asimuapoint mmojawao kwenda kuisort out THA? maana Mgawe na GENGE lake la MAFISANI naona wameshindwa kazi na evidence wee pila SALENDA bridge utaona meli zilivyo jazana kule baharini
Nadhani bosI wa TRA angefaa zaidi kule THA na JK is seriuosly considering kumbadilisha on a flipside ni kweli Mataka naye anaitaka sana hiyo post
GT, unafikiri Dr. Dau hawezi kuimudu na kuirudisha katika nidhamu Bandari?
Kuna TLP,CUF,NCCR Mageuzi etc,etc...Why just CHADEMA!!?May be wakawa hawana facts za kutosha kuhusu hili suala,je ungependa wajitwishe hivyohivyo??CHADEMA mbona wamekuwa kimya sana kwenye hili sakata la bandari au hili halina political capital?
Kuna TLP,CUF,NCCR Mageuzi etc,etc...Why just CHADEMA!!?May be wakawa hawana facts za kutosha kuhusu hili suala,je ungependa wajitwishe hivyohivyo??
kwani tatizo la bandari ni nidhamu ya Meneja na bodi au?
pili Dau unayemzungumzia ni yupi,yule yule aliyekuwa ukisema kashindwa kazi NSSF? sasa kama alishafeli NSSF (kutokana na maelezo yako siku za nyuma)iweje apelekwe Bandari ambako tayari alishapita?
Pili kwa sababu tatizo la bandari kwa ukubwa linatokana na TRA huoni kama kuna mabadiliko ya kufanya basi yafanywe TRA?