Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

Maisha bora kwa kila mtanzania ndio ilikuwa kauli mbiu yao, sasa ivi inawapasa wabadilishe kauli na kusema ni maisha bora kwa kila polisi, hakuna lililo zuri kwa hawa waheshimiwa wenzetu, sio bandari tu bali ni kila kitu. sasa mnalalamika kuusu bandari kwani wakilekebisha huduma za bandarini ndio maisha bora????????hapa la msingi ni tuvumilie mwaka 2015 ufike alafu tuje tujutie wenyewe kwa maamuzi tutakayochukua.
 
Hata huko bandarini juzi tumesikia kuwa wakurugenzi wamepisha uchunguzi. kwani hiyo ndio solution? mbona mambo ni yaleyale tu. kikubwa watupishe hata siku 100 tu waone maendeleo. wezi wakubwa haoooooooooo.
 
Tatizo la msongamano wa miziogo bandarini na airport sio mamlaka ya bandari au swissport ni tatizo la mfumo mbaya na wa urasimu uliopo kwenye assessment ya kodi. Tatizo kubwa ni TRA. Inachukua muda mrefu sana mtu kuambiwa anadaiwa kiasi gani.

Documents zinakataliwa na afisa mdogo tu wa TRA kwa sababu za kipuuzi na inachukua siku kadhaa kurekebisha au malalamiko yako kusikilizwa. Bandari ukishalipia kodi haichukui siku mbili bila kukabidhiwa mizigo yako.
 
Namshangaa Mh Chambo kumteua Bw Jaso Rugairuza kuwa Mwenyekiti wa kamati,anamfahamu vizuri huyo Mhe Rugairuza ??kweli,Hvi Tanzania inakwenda wapi?
Huyu jamaa aliyeteuliwa hafai kwani ni yeye ndiye aliyesababisha mrundikano wa wa mizigo pale Bandarini alpokuwa Port Manager kabla ya Cassian Ngamilo,BW Rugairuza
 
Back
Top Bottom