Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,100
- 313
This is very stupid.
Sijawahi kuona wizara au kampuni inasukumia matatizo/uchafu wake ikulu. Hii inakuonyesha wazi ni jinsi gani raisi na wapambe wake walivyohusika. Wananchi inabidi tuamke. Hii sio amani kwani hata hiyo kodi ambayo inakusanywa kutokana na uzalishaji haipo tena. Inabidi raisi ajiuzulu na serikali yake yote. Huu uchafu hatuuwezi kabisa kwani tutaishia kuwa kama Haiti.
This is just unbelievable. We don't have leadears, we have followers.
Sijawahi kuona wizara au kampuni inasukumia matatizo/uchafu wake ikulu. Hii inakuonyesha wazi ni jinsi gani raisi na wapambe wake walivyohusika. Wananchi inabidi tuamke. Hii sio amani kwani hata hiyo kodi ambayo inakusanywa kutokana na uzalishaji haipo tena. Inabidi raisi ajiuzulu na serikali yake yote. Huu uchafu hatuuwezi kabisa kwani tutaishia kuwa kama Haiti.
This is just unbelievable. We don't have leadears, we have followers.