Kashfa ya Kontena la Vitunguu Saumu kutoka China: Badala ya kuchomwa vinarudishwa upya!

Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.

we mama nakukubali sana kwa misimamo yako. Namuonea wivu mume wako. Natamani mimi ningekuwa yeye.
 
Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.

Jiuzulu uwe mjasiriamali hii kazi huiwezi tena FF Pole.
 
Watu wengine wanajaribu kutenganisha yanayotokea kwenye ufisadi na matokeo yake kwa maisha ya wananchi. Kwamba kwa kuagiza au kuruhusu vitunguu saumu tunaua biashara yetu ya ndani sisi wenyewe na kuendelea kuwasukumiza watu kwenye kona ya umaskini wa kudumu.
 
Watu wengine wanajaribu kutenganisha yanayotokea kwenye ufisadi na matokeo yake kwa maisha ya wananchi. Kwamba kwa kuagiza au kuruhusu vitunguu saumu tunaua biashara yetu ya ndani sisi wenyewe na kuendelea kuwasukumiza watu kwenye kona ya umaskini wa kudumu.

Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.

Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.

Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?

Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?
 
Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziedendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.

Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.

Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?

Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?

unafikiria kwa kutumia nn??
 
If u ar not of the same gene, they u must be eating from the same pot! sasa kama ameuliza maswali ya upupu, kinawazuia nini kuuliza maswali ya msingi? huwa nikikutana na watu wa aina yenu u just mesmerize me!
Umekuja na habari nzuri sana para ya kwanza, kama ni ya kweli, halafu para ya mwisho ukamwaga pumba kama kawaida yako. Unanshangaza kwa kuiharibu habari kwa maswali yasiyo na msingi.

Umeanza vizuri lakini mwishoni umeingiza upupu. Inaelekea hata habari yenyewe ni ya kutunga tu.
 
Kama hii habari ni ya kweli tumekwisha. Nishaweka pending matumizi yangu yote ya vitunguu swaumu.
 
Jiuzulu uwe mjasiriamali hii kazi huiwezi tena FF Pole.

Ujasiriamli niliuvuka zamani sana, mimi ni mfanya biashara za kimataifa, nna nunua pamba ya Tanzania, nnaipeleka India inafumwa vitambaa, nnavipeleka Mauritius vinatengenezwa nguo za kuwauzia wenye fedha za kununuwa majina, nembo ya wateja wangu inaitwa "Cotton Club", wakisha zivaa wanazileta Tanzania kama mitumba na kuwaacha Watanzania wakizigombania na kujisifia kuwa wamevaa "designer".

Jee, wewe?
 
Ujasiriamli niliuvuka zamani sana, mimi ni mfanya biashara za kimataifa, nna nunua pamba ya Tanzania, nnaipeleka India inafumwa vitambaa, nnavipeleka Mauritius vinatengenezwa nguo za kuwauzia wenye fedha za kununuwa majina, nembo ya wateja wangu inaitwa "Cotton Club", wakisha zivaa wanazileta Tanzania kama mitumba na kuwaacha Watanzania wakizigombania na kujisifia kuwa wamevaa "designer".

Jee, wewe?

Upo juu kama u own that label....nazionaga Slipway not sure if its the same cotton club

Back to topic: kama kweli vitunguu saumu vimeexpire basi havina budi kurudishwa, sisi sio dampo!
 
Jinsi ulivyoanza, ulikua unaleta maana, ila ulivoingiza mambo ya igunga ukapoteza maana kabisaa, kwani vitungu vya china na maswala ya igunga nikama kifo na usingizi. Bora hata ungesema hivyo vitunguu vya kichina vinaweza kua vya plastic manaake wachina kwa feki ndo wenyewe.
 
Pumzika we kikongwe usiyechoka kulumbana, umri ulionao ukiendelea kubishana na vijana wa jf utajifia siku sio zako, huku hakuna wazee wenzio! Khaa Nape kweli hana hata huruma, anawapa kazi mpaka wabibi kama wewe?.. Ungeutumia ujana wako vizuri sahizi ungekuwa umejipumzikia zako unajilia mafao taratiibu...ona sasa unavyohangaika kisa ujira wa sh elfu mbili kwa siku... Kalee wajukuu zako bana!

Old is Gold.
 
Upo juu kama u own that label....nazionaga Slipway not sure if its the same cotton club

Back to topic: kama kweli vitunguu saumu vimeexpire basi havina budi kurudishwa, sisi sio dampo!

Ahsante Nsiande, si i own hiyo label, hiyo label ni ya wateja wangu ambao tunawatengenezea nguo za pamba yenye ubora unaokubalika. Kama hizo nguo ukikuta ni za pamba na zimetengezwa Mauritius, kumbuka ni mimi nnae zisimamia kuanzia kupeleka pamba India ikafumwa mpaka kuifikisha Mauritius na kuhakikisha zinashonwa nguo kutokana na design na ubora autakao mwenye nembo ya "Cotton Club".
 
sawa FF,

Ndio tuletewe vilivyooza? Kwahiyo watanzania tujipime na vilivyooza? Wewe magamba yako hayawezi kuvuka labda kwa kutumia shoka la umsolopagazi


Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.

Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.

Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?

Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?
 
sawa FF,

Ndio tuletewe vilivyooza? Kwahiyo watanzania tujipime na vilivyooza? Wewe magamba yako hayawezi kuvuka labda kwa kutumia shoka la umsolopagazi

Ndio maana tuna idara za "Customs", "health", "TFDA", "TBS", "UWT" na zinginezo, kuhakikisha hatuingiziwi vibovu.

Nakuuliza, vitunguu vibovu bandarini vina husiana nini na Igunga?
 
sasa sie wapenzi wa vitunguu saumu ndio tumekwisha maana hivi lazima vitaingia tu sokoni.... ewe mola tuepushe na haya mabalaa kha!
 
Back
Top Bottom