Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,596
- 5,787
Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
we mama nakukubali sana kwa misimamo yako. Namuonea wivu mume wako. Natamani mimi ningekuwa yeye.