Labda maoni yako yamesikilizwa.
Kwanini anasubiri wawe wengi kwenye fungu ndio achukue hatua? Amekuwa akifanya hivyo pia kwa mawaziri. Matokeo yake haionekani kama hatua au adhabu zimechukuliwa lakini pia kama mtu kasababisha damage basi ndio aendelee kuisabibisha mpk wakosaji wawe wengi? . Aliutaka urais wanini kama kuwawajibisha waliokosa kwake ni ngumu?