TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
My Take:
Je hii itakuwa kashfa ya kwanza kubwa ya awamu ya pili ya JK? Kwa kutolewa na gazeti la Serikali ina maana gani?
Mkuu... Tumedandia IT na watoto wanatukimbiza kweli miaka hii, sijui serikali yetu imejiandaaje na cyber era