Kashfa ya ajira TANAPA

Je, ni rahisi kwa taasisi kubwa kama Tanapa kusahihisha written interview (yenye maswali 25) ya zaidi ya watu 800 kwa masaa ma 5 tu na kutoa matokeo kuwa watu 30 pekee ndo wamefaulu kuendelea na oral interview?!

ninasema hivyo kwa kuwa naona kama kuna rushwa na kujuana maana haingii akilini zaidi ya watu 800 pepa yao kusahihishwa kwa masaa ma 5 halafu eti matokeo yanawaruhusu 30 tu na wanaarifiwa the same day kuwa keshoye warudi for oral interview.

ni hivi:
tarehe 13 august kulikuwa a interview ya nafasi mbali mbali za kazi katika Tanapa.interview ilifanyikia msimbazi center saa 3 asubui mpaka saa 5 asubui.maswali 25 yalipitishwa kwa watahiniwa ili wayafanye.ilipofika saa 11 jioni majina ya watu 30 waliofaulu kuingia oral interview yakabandikwa.sio matokeo ya watahiniwa wote waliofaulu,bali ni majina tu na wala haionyeshi maksi zao.
nina wasi wasi matokeo na majina yalishapangwa kitambo na ile interview ilikuwa ni kutimiza wajibu tu..naomba vyombo vinavyohusika vilifuatilie suala hili ili kuondoa kujuana ndani ya taasisi hizi kubwa za serikali

Nafikiri kutakua na procedure ya kuappeal jaribu kufind out.
 
Mimi ninachoona watanzania tumeshamezwa na kubebwa sana na undugu. Hata wewe leo hii ukipata nafasi ya kuingiza ndugu yako 90% utafanya hivyo. Tena ukitaka kukosana na watu (Mabosi wako) fuata policy na utaratibu sahihi utatolewa au utakua na kazi ngumu sana.

Pili ukimtegemea mungu hutaaibika. Mimi niliachishwa kazi kwa ghafla. Kazi ninayo fanya ina competition sana. (Uhasibu) sina CPA sina masters. Hata hiyo degree ya kwanza ni ya GPA za kawaida kabisa. Basi nikafunga tatu kavu mara mbili na kuitwa kwenye interview sijakaa hata siku, Nikaitwa kazini- senior Position. Sikuwa na refer wala sikutoa rushwa
MUWEKE MUNGU MBELE HUTAAIBIKA

Pia ukiomba kazi usijifunge saana kwenye masharti yao. We warushie tu ili Mungu afanye kitu.

Kitu kingine ninachokiona watanzania hatuwezi kabisa kujieleza kwenye interview. Tuko weak sana katika kujieleza. Mimi nilifundishwa jinsi ya kujibu interview na jamaa mmmoja ana kampuni yake ya kufundisha watu jinsi ya kufanya interview. Nilipomaliza degree yangu. Jamaa mwenyewe ni mkenya alikua na ofis yake Samora. Basi alikua ananitoa nje naingia ndo kama naingia kwenye panel. Nachemka ananitoa tena . Huku na ni zingua sana. Ila kila tukifanya ananilekebisha hapa na pale. Tulirudia zoezi siku kadhaa jinsi ya kujibu maswali ya interview hasa common questions.
Alikua anaigombeza kweli lakini akawa ananiambia kuna siku utanikumbuka. Alikua akitaja issues za manesi na wazazi. Na jamaa elimu yake ni form four tu. Pia akanifundisha skilss za kuishi na mabosi.

Huyu jamaa tangu anani - traini sijawahi kuitwa kwenye interview nisiwe short listed for the next interview. Kuitwa kwenye interview huwa kwangu ni kosa kabisa labda nisiitwe tu. Lazima nitakwenda kwenye next session. Mpaka kwenye watatu au wawili.

Pia usiombe kazi kila sehemu kuwa strategic. We huwezi kujidumbukiza sehem kama NSSF na asasi zingine za kiserikali halafu ukaingia kirahisis wata ku-frusturate sana ,jitoe mhanga, achana na issue za kutuma cv kwa njia ya internet pekee. Nenda manually kabidh CV Physically pia. Kama wewe sio wa tai achana nazo, kwanini uwe artifical for one day?. wewe kama ni wa jeans ofisini piga hata jeans siku ya interview. watajiuliza jamaa kajiamini nini huyu? Acha kuandika CV kwa staili ya ku- bulltet. Weka vitu in detail, andika acha ku-outline.
Acha kuomba mshahara wa kijinga na degree yako unasema laki tano mbele ya mzungu ukiwa serious kabisa halafu unasema wewe graduate. Graduate gani hujui ku-negotiate. Piga mawe ya mbali mkavu mkavu. Anzia hata 3M take home tena ikibidi sema Dola ukiwa mkavu makavu. Mimi nliikaaa nyumbani sina kazi na hata sometime nauli ilikua issue lakini niliomba mshahara ambao ilikua too much risk. Kwani nigeikosa kazi sijui ingekuaje. Lakini nilianzia juu. Nikakomba na benefits nyingi ikiwa ni pamoja na kusomeshwa na alllowances kibao. Wakaingia wazima wazima.

Nina tamani muone ninachokiona ila basi tu. Once upon nilikua ng'ambo hiyo ndo maana nina machungu sana na ndugu zangu ambao hawajavuka
 
Mkuu ha ha ha ....avatar yako nimeipendaaa!, Polen kwa kurudishwa shuleni, huenda walitaka kujua ufahamu wa mwenye umiliki wa vyeti, wengine wanaandikiwa CVs na barua za kazi. Tatizo hapo naona ulishangazwa na muda mfupi sana wa zoezi hilo kukamilika.
Je, ni rahisi kwa taasisi kubwa kama Tanapa kusahihisha written interview (yenye maswali 25) ya zaidi ya watu 800 kwa masaa ma 5 tu na kutoa matokeo kuwa watu 30 pekee ndo wamefaulu kuendelea na oral interview?!

ninasema hivyo kwa kuwa naona kama kuna rushwa na kujuana maana haingii akilini zaidi ya watu 800 pepa yao kusahihishwa kwa masaa ma 5 halafu eti matokeo yanawaruhusu 30 tu na wanaarifiwa the same day kuwa keshoye warudi for oral interview.

ni hivi:
tarehe 13 august kulikuwa a interview ya nafasi mbali mbali za kazi katika Tanapa.interview ilifanyikia msimbazi center saa 3 asubui mpaka saa 5 asubui.maswali 25 yalipitishwa kwa watahiniwa ili wayafanye.ilipofika saa 11 jioni majina ya watu 30 waliofaulu kuingia oral interview yakabandikwa.sio matokeo ya watahiniwa wote waliofaulu,bali ni majina tu na wala haionyeshi maksi zao.
nina wasi wasi matokeo na majina yalishapangwa kitambo na ile interview ilikuwa ni kutimiza wajibu tu..naomba vyombo vinavyohusika vilifuatilie suala hili ili kuondoa kujuana ndani ya taasisi hizi kubwa za serikali
 
tunashindwa kuelewa nini maan ya elimu watu tunasoma vyuo tofauti na wakt wa interview wanapita watu wa chache wanaitaji exprnc sis tunaosom mweka college tunapewa elimu ya kutosha na field nyin mbona hatupati ajira lini tutapat exprnc bila kupata tok kwenu
 
Back
Top Bottom