Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi how hard is it kwa Immigration officers kufua nguo zao?
Hivi how hard is it kurekebisha zile escalators pale waunja wa ndege?
Hivi how hard is it kuweka Aircondion mle dani?
Halafu hivi mtu ukishapita pale customs na huna ulicho declare kuna ulazima gani wa kuweka watu kumi pale mlangoni kuuliza wageni maswali yasio na kichwa wala miguu?
Halafu wale askari kanzu waliojazana pale nje baada ya kutoka nao lazima wasumbue watu?
Hivi ni akina nani ambao inabidi wajibu haya maswali na wawajibishwe...I mean from waziri husika mpaka meneja wa uwanja wa Ndege?
Halafu ule upande wa VIP hivi kile kijichoo ndio the best we can do?
Hivi how hard is it kurekebisha zile escalators pale waunja wa ndege?
Hivi how hard is it kuweka Aircondion mle dani?
Halafu hivi mtu ukishapita pale customs na huna ulicho declare kuna ulazima gani wa kuweka watu kumi pale mlangoni kuuliza wageni maswali yasio na kichwa wala miguu?
Halafu wale askari kanzu waliojazana pale nje baada ya kutoka nao lazima wasumbue watu?
Hivi ni akina nani ambao inabidi wajibu haya maswali na wawajibishwe...I mean from waziri husika mpaka meneja wa uwanja wa Ndege?
Halafu ule upande wa VIP hivi kile kijichoo ndio the best we can do?