Kule Uingereza kuna skandali inayohusu gazeti la News of the World na mapolisi wa UK. Tuhuma hizo zimesababisha Cameron wazir mkuu wa UK akatishe ziara yake South Africa na kurudi kwao.
Tanzania iko kwenye tatizo zito la umeme na serikali iko kwenye tuhuma nzito za rushwa. Mkuu wa nchi yeye leo anaendelea na safari ya "KIHISTORIA"ya kwenda kutembelea kisiwa alichosotea Madiba kwa miaka 27.
Wana JF nipoozeni kwa maoni yenu kabla sija-collapse kwa msongo wa mawazo..
Tanzania iko kwenye tatizo zito la umeme na serikali iko kwenye tuhuma nzito za rushwa. Mkuu wa nchi yeye leo anaendelea na safari ya "KIHISTORIA"ya kwenda kutembelea kisiwa alichosotea Madiba kwa miaka 27.
Wana JF nipoozeni kwa maoni yenu kabla sija-collapse kwa msongo wa mawazo..