WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Hiyo ramani iliyochorwa na mafisadi ni pana sana! Kwanza wanatuhamisha kwenye hii inshu ya mawaziri, then tutaona inshu iko complex na hivyo tutaamua kuwa wapole kama kawaida yetu wabongo. Hapa cha kufanya ni M4C ikaze mwendo kuelimisha wananchi ila naimani kubwa kuwa baada ya CCM kuanguka kifo cha mende, kuna viongozi wengi watamalizia maisha yao jela au kufilisiwa vibaya. Time will tell!!