Swali nimeuliza hamkulijibu.. Why Tanesco ndio wanunue mafuta kwa ajili ya IPTL? Kwa nini IPTL wenyewe wasinunue mafuta wanakotaka wao sii lazima Puma. Mafuta is part of their expenses, wayanunue wao kisha wao wawauzie Tanesco umeme.
Jibu ni moja tu IPTL na mashirika yote ya kuzalisha umeme ni mali za viongozi wetu.. we are all paying for their expenses lakini hamtaki kutazama huko na sasa mnawavutia na
bomba la gas watumalize vizuri. Tunagom,bana na Tanesco
lakini hatutaki kutazama IPTL na Symbions na mashirika haya y
alokuwa ya dharura leo ndio yameshika uchumi wa nchi..
Wacha nikupatie Jibu!
Tatizo ni kubwa kuliko mnavyoliona vijana. Niwakumbushe kidogo history . Matatizo ya uzalishaji Umeme yalianza kujitokeza kwa Mara ya kwanza 1992 na Serikali ya CCM Waziri wa nishati alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Waliamua kuagiza mitambo ya dharura ya kuzalisha Umeme kwa kutumia Jet A1 . Tatizo mitambo ya Umeme au turbines zilinunuliwa off shelf na hapo ndipo Serikali iliingia choo cha kike. Mitambo ilikuwa inaendeshwa kwa gharama kubwa sana na kwa kuwa Serikali ya Mzee Ruksa haikuwa makini na Waziri Dhaifu walibuni mpango wa kufua Umeme kwa kutumia Mwekezaji IPTL. Mkataba ulifanyika kwa njia isiyokuwa sahihi kwa maana kwamba Wizara iliingia Mkataba ambao ilikuwa na kipengele cha kuwapatia Mafuta but funny enough wakaweka na kulipwa Capacity Charge ya USD 3milioni kwa mwezi. Kwa kifupi ndilo chimbuko la kuwanunulia Mafuta IPTL . Utaratibu huu ni wizi mtupu inside out hata hivyo Serikali ya Mkapa ilifumba macho na actually ufisadi ilikuwa mbaya Zaidi kwani sehemu au nusu ya capacity charge ilikuwa inalipwa na Hazina wastani wa Tshs 1.5 Bn kwa mwezi pamoja kwamba mashine zilikuwa uazifanyi Kazi na nusu ilikuwa inalipwa na Tanesco hadi mwaka 2005.
Cha kushangaza hata mikataba ya Mhando na Symbion / Aggreko inaitaka Tanesco iwanunulie Mafuta kwenye mitambo ya hao wezi iliyopo Tegeta, Ubungo na Dodoma na hata itakayofungwa kule Arusha it's alll ulaji left and right na wanaofaidi ni watu wachache ambao ndio wanamtetea kwani ndiye last card ya mhimili wa ufisadi baada ya kuondolewa Jairo na Ngeleja. Hata Bodi huwekwa watu soft ambao hupewa mgao na kuifanya Tanesco kuwa shamba la Bibi? Wacheni kusikiliza hear say just read all these have been said and written widely including hata Songas ?