Bikirembwe
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 250
- 7
Katika viongozi wote TZ ni Ali Karume pekee alietamka kuwa, iwapo atachaguliwa kuwa Prez Zanzibar ataanzisha serikali ya Mseto. Alisema hayo hata kabla ya Makubaliano ya Muafaka kuwekwa hadharani.
Unazi unawazidi sasa hii ni sera ya CUF hata Balozi Ali hajatamka hayo au kwa msemo wako Kiongozi wa Tz ni anayetoka CCM tu na tunavyowajua CCM tamko la mtu mmoja halisaidii kitu tumeyaona yalotokea Butiama, Mwenyekiti wao alijipiga kifua mbele kuwa atamaliza mzozo wa Znz kazidiwa hoja na Karume sasa ameuzidisha kuwamgogoro zaidi.