Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
hivi,,, JK au Pinda wameshaongea chochote kuhusu ttz la umeme znz???
Hakika WZNZ tumeshachoka na wabara kwanza wanasifa kuu tatu ni wahemkwaji,wabaguzi na wadini,mimi niko bara nafanya kazi bosi wangu ata hajifichi ananibaguwa wazi wazi .halafu nimesahau moja wabara hawafanyi kazi mpaka wasukumwe(pushed0 dah!!!!!!!!!!!!!!!,ninampango wakuacha kazi ukifanya kazi vizuri wanaona kama unajipendekeza au unataka kuchukua vyeo vyao,halafu sifa yao ya tano ni washirikina kila muda wanaamini kurogwa.dah.POLENIN WATANGANYIKA SIWAPENDIIII
[/SIZE]
Dhambi ya ubaguzi itaitafuna Zanzibar kama unachosema kitatokea kwa staili unayofikiria. Hii si kanuni ya Mwalimu Nyerere bali ni kanuli ya historia (Mwalimu Nyerere, 1995)
Kila mtu na sukani yake sawa.lakini ukiacha jazba na kutuliza kichwa ukawaza na kuwazua ni upande upi ulotegemezi kwa mwenzie? Angalia temeke tu wapemba walivyojazana na frem zao nini namanga kkoo masaki hadi ubungo. Nie ni wafadhilaka mmezoea KUUTIA KASI BORAYEISHE ALAAAA tugawane fito uchuguzi ukifika wake zenu wabara mwawatimua Mpaka mmalize chaguzi zenu ndo ubinadam gani huooo ati ammy.MBONA KULALA AAG .........endeleeni kuramba sijui mwaramba nini
Mkuu yale si maneno yangu, nakumbukia tu aliyosema Mwalimu. Thibitisha hapa kuwa Wazanzibari hawafaidiki na Muungano. Pia kumbuka kwetu sisi Wabara kuvunjika kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi.
Hamna lolote lile.. tumeshayasema haya hapa lakini Zanzibar haitoki kwenye Muungano na hakuna kiongozi wa Zanzibar mwenye akili timamu anayeweza kuja na proposal hiyo. Msishangae kundi hilo zima likajikuta linaishia Maweni..
Akiingia Maalim Seif Ikulu kitu cha kwanza ataomba aimarishiwe ulinzi kutoka bara. Kitu cha pili ataomba na kufanya kila awezalo Kuimarisha muungano. Je can anyone guess kwa nn Maalim au CUF watahuitaji Muunangano zaidi wakiingia Ikulu ?
Nafurahi sana jinsi Mwiba unavyopenda kujifurahisha kwa kujipa matumaini ambayo, kamwe na asilan hayawezi tokea, ila sio vio vibaya kuishi kwa furaha ya matumaini ya vifaranga vya kuku kuwa mtaruka kesho, na matumaini hayo kwa kuku huendelea mpaka siku ya kuchinjwa na kufanywa kitoweo.
Kwa mujibu wa katiba, ile kufikiria tuu kuvunja Muungano ni uhaini, Alhaj Aboud Jumbe alipo panafahamika na yaliyomkuta yanaeleweka. Sijadhi kama bado kuna viongozi wengine, wanaotaka kufuata nyayo za simba.
[/SIZE]
Dhambi ya ubaguzi itaitafuna Zanzibar kama unachosema kitatokea kwa staili unayofikiria. Hii si kanuni ya Mwalimu Nyerere bali ni kanuli ya historia (Mwalimu Nyerere, 1995)
Kila mtu na sukani yake sawa.lakini ukiacha jazba na kutuliza kichwa ukawaza na kuwazua ni upande upi ulotegemezi kwa mwenzie? Angalia temeke tu wapemba walivyojazana na frem zao nini namanga kkoo masaki hadi ubungo. Nie ni wafadhilaka mmezoea KUUTIA KASI BORAYEISHE ALAAAA tugawane fito uchuguzi ukifika wake zenu wabara mwawatimua Mpaka mmalize chaguzi zenu ndo ubinadam gani huooo ati ammy.MBONA KULALA AAG .........endeleeni kuramba sijui mwaramba nini
Mkuu yale si maneno yangu, nakumbukia tu aliyosema Mwalimu. Thibitisha hapa kuwa Wazanzibari hawafaidiki na Muungano. Pia kumbuka kwetu sisi Wabara kuvunjika kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi.
Akiingia Maalim Seif Ikulu kitu cha kwanza ataomba aimarishiwe ulinzi kutoka bara. Kitu cha pili ataomba na kufanya kila awezalo Kuimarisha muungano. Je can anyone guess kwa nn Maalim au CUF watahuitaji Muunangano zaidi wakiingia Ikulu ?
Wazanzibari waache kulaumu bara kwa kila kitu, tatizo Zanzibar sio bara bali uvivu wao.
Hebu angalia hilo kaburi linaombewa na viongozi huku magugu yakiwa yamejaa na, mbaya
zaidi, hao viongozi wanaona sawa tuu . Tatizo la Zanzibar ni UVIVU, muungano mnautumia
kama scapegoat tuu.
Hakika WZNZ tumeshachoka na wabara kwanza wanasifa kuu tatu ni wahemkwaji,wabaguzi na wadini,mimi niko bara nafanya kazi bosi wangu ata hajifichi ananibaguwa wazi wazi .halafu nimesahau moja wabara hawafanyi kazi mpaka wasukumwe(pushed0 dah!!!!!!!!!!!!!!!,ninampango wakuacha kazi ukifanya kazi vizuri wanaona kama unajipendekeza au unataka kuchukua vyeo vyao,halafu sifa yao ya tano ni washirikina kila muda wanaamini kurogwa.dah.POLENIN WATANGANYIKA SIWAPENDIIII