Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
sadiki sasa ashiba
chakula kingi jamani,
nirudi tena kwa baba
nakufa hapa kwanini?
chakula kingi jamani,
nirudi tena kwa baba
nakufa hapa kwanini?
anayeijua ile story ya sadiki aliyekimbilia mjini kutafuta kazi aiweke hapa wajameni....maisha yalivyomshinda town karudi na viraka vya nguo.
Ahsante sana ndugu zangu hakika mmenikumbusha mbali sana kwa utenzu huu takribani miaka 40 nilipoiacha shule ya mtaro very long time ago sincr the 1970s endelezeni mapambano
Safi mkuu, inasisimua beti zimeenda shule sijui alikuwa anatunga nani siku zile!Umesahau ubeti unaosema:
WAKAWANUNUA NG'OMBE MAJIKE KWA MAFAHALI,
WAKAPATA NA VIKOMBE MAVAZI NA BASKELI,
HAWAKUITAKA POMBE, SABABU POMBE SI MALI,
Kama mnataka mali mtayapata shambani.
Safi mkuu, inasisimua beti zimeenda shule sijui alikuwa anatunga nani siku zile!
safi sana..ya sungura vipi
Umesahau ubeti unaosema:
WAKAWANUNUA NG'OMBE MAJIKE KWA MAFAHALI,
WAKAPATA NA VIKOMBE MAVAZI NA BASKELI,
HAWAKUITAKA POMBE, SABABU POMBE SI MALI,
Kama mnataka mali mtayapata shambani.