Kwani kuna nini huko?Jamani ndugu wanajamvi,mbona hakuna mtu anayetuletea habari toka Karimjee Hall??
Subiri kuna jamaa anaitwa bayonet ataleta habari baadae akishashughulikia
Kama mpaka sasa hivi hiyo habari haijapatikana mjue ni yale yale NO NEWS
Tamko la waislam Dar litapatikana kwenye vyombo vya habari vyote ilikuondoa upotoshaji habari za waislam.Kongamano ilikua kujibu hoja nyingi za maaskofu kwa serikali zinazolenga waislam nchini. Tumevumilia sana sasa muda wa amani Tanzania unahesabika.Tamko lilikua live imanifm.
Tamko la waislam Dar litapatikana kwenye vyombo vya habari vyote ilikuondoa upotoshaji habari za waislam.Kongamano ilikua kujibu hoja nyingi za maaskofu kwa serikali zinazolenga waislam nchini. Tumevumilia sana sasa muda wa amani Tanzania unahesabika.Tamko lilikua live imanifm.