jk yupo?
Ndiyo anatuongoza hapa Karimjee na ataongoza umma wa watanzania ktk mazishi Arusha.
jk yupo?
WC, please just a little bit of humility is all we need for now!.Tunaigharamia sana SIASA na WANASIASA kupita kiasi. Sasa hata mazishi yanakuwa ghali mno. Mzee huyu ameugua muda mrefu tu. Tumetumia gharama. Tumemlipa mishahara ya UBUNGE kwa muda wote huu akiwa kitandani tangu alipochaguliwa. Sasa gharama za mazishi tena.
Pasco vipi findings za leo wameshikana mikono?Mkuu Hojatete, asante kwa kazi nzuri ya kutu update, please don't be distracted ili upoteze focus, wengine wetu humu jamvini sii wazima, achana nao usiwajibu, just keep on updating!.
hojatete pamoja sana, endelea kutujuza maana wengine tuko mikoani imekuwa ni vigumu kufika. Tunategemea ushirikiano uliokuwepo katika mazishi ya REGIA ndio utakaokuwepo kwa SUMARI. Hakuna magwanda wala magamba wote walikuwa kitu kimoja na tunawaomba wawe pamoja hata katika kikao kijacho cha Bunge, Magwanda waache kususasusa.
Findings huja baada ya maziko!. Nawaombeni sana tuheshimu msiba!.Pasco vipi findings za leo wameshikana mikono?
Mwananchi wanasubiri updates zako ili kesho itoke hewani.
Mhe Rais atajumuika na wananchi kuongoza mazishi jumatatu Arusha
Slaa, Lissu, Sugu na Samwel Sitta wameingia
Bunge letu halionyeshi kama linajali hali ya uchumi wetu na huduma nyingine za jamii iliyowachagua zinavyoathirika kwa maraha haya wanayopeana hata baada ya kuwa wamefariki. Wabunge wetu sasa sio wenzetu. Hawatoki miongoni mwetu tena!WC, please just a little bit of humility is all we need for now!.
Leo unajifanya una mibusara juzi Ifakara wakati wengine wakizika wewe ulikuwa unahangaika kudandia makaburi kupata picha ya Slaa na JK acha hizo.Findings huja baada ya maziko!. Nawaombeni sana tuheshimu msiba!.
Baada ya kisa mkasa, baada ya chanzo, kitendo, naomba acha tumalize msiba hayo mengineyo yote yatafuatia!
kamanda lema amejichanganya na watu wa ccm
i hope hapo kwenye red hukuwa na maana hiyo!!halafu usiwe mnafiki hii tabia ya kuwa na gharama kubwa kwenye mazishi wakati alipokuwa mgonjwa hatujakanyaga kwenda kumjulia hali ni unafiki sana.nasisitiza hizo hela za mazishi ya kifahari zitunzwe na kununua vifaa vya uchunguzi ili magonjwa kama ya marehemu sumari yaweze kugundulika mapema.WC, please just a little bit of humility is all we need for now!.
WC hivi ndio leo inalijua hili kuwa wabunge sio wenzetu!?. Acha kwanza tukishazika ndipo tulijadili hili!.Bunge letu halionyeshi kama linajali hali ya uchumi wetu na huduma nyingine za jamii iliyowachagua zinavyoathirika kwa maraha haya wanayopeana hata baada ya kuwa wamefariki. Wabunge wetu sasa sio wenzetu. Hawatoki miongoni mwetu tena!
ni mbunge wa arumeru baba wa watoto wa umri wangu
Manywele ameacha kulia
Mbona ifakara ilinyesha mvua na watu hawakukimbia..acha uzushi huko watu wamekimbia jua wewe.kwanza tulia mana umechelewa
Leo unajifanya una mibusara juzi Ifakara wakati wengine wakizika wewe ulikuwa unahangaika kudandia makaburi kupata picha ya Slaa na JK acha hizo.
Kama ni mbunge ndo mabaya yake yasisemwe.
more update please!.