Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
dogo ule mradi wa mbuzi umeshafilisi??????lol
Man.....uliona Kongosho and co walikuwa wanakutafuta? welcome back....
dogo ule mradi wa mbuzi umeshafilisi??????lol
Kuna watu wataalamu wa ku-cheat!kuona mwaliko amejaza sicksheet
Aisee we dogo,
Leo si kuna kupanga viti pale kwa Weeeeeuweeeeee! Unataka nyooooonyoo!
Ngoja nimpigie Teamohoto:
Khaaaaa!! Umeambiwa na cheichei shangazi...Hata juice za sayona si tunaruhusiwa kuja nazo? Mie nakuja na caton nzima.
:lol::lol: nasikia kajaza sick sheet hadi January mama mubaya yuleekuona mwaliko amejaza sicksheet
Mwenyekiti tutamalizana najua nina deni kwako halafu kuna faili liko mezani kwako...damnDogo nadai hatimiliki apo.....:smash:
Mkwe hebu ongea na Lizzy nasikia huwa anamaliza lita 20 za mbegewatumiaji wa mbege msiwe na hofu mie nitafika na mtungi umejaa ..kama daladala halitavunja kamtungi kangu naoana tumebanana kama mishikaki,,,,oa
Habari za kujaza sick sheet...:eyebrows:yam yam yam......limao lisikosekane jamani....
Mwenyekiti tutamalizana najua nina deni kwako halafu kuna faili liko mezani kwako...damn
Kachangamka sana huyu muda huu...si anajua yuko free, kamtosa mwajiri!!!!?Habari za kujaza sick sheet...:eyebrows:
Hahahaha!!! PJ halafu usikute saa hii Preta kaishatoroka ofisini...
Kuna watu wataalamu wa ku-cheat!
Juzi tulivoenda Babati kwa ile party yetu alimwambia mwajiri wake kuwa nyumba ya binamu yake imeingiliwa na mafuriko ya mto Kiroroma, kumbe wapi!
Leo kasingizia msiba wa Mr Ebbo!
Sasa kwa ile maneno yetu ya kesho pale nanihiino sijui atasemaje!
Namshauri ajue kuwa ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu!
La la Lizzy atanifilisi kwa style hii....nitamchanganyia na virobaMkwe hebu ongea na Lizzy nasikia huwa anamaliza lita 20 za mbege
Habari za kujaza sick sheet...:eyebrows:
We Blaki,na vile anatumia white sijui kama atakuwa na kumbukumbu daaah itabidi shemegi wa kericho ajitole kumkumbusha
Iko uwanjani inafanya warm mazoezi ya viungo, kupiga free kick, penati na jinsi ya kucheza faulo...:eyebrows:halafu.....umeshaanda timu....?
Mchanganyie viroba vile vya GinLa la Lizzy atanifilisi kwa style hii....nitamchanganyia na viroba
Hahahaha!! Umemuona hapa chini anavyojigambaKachangamka sana huyu muda huu...si anajua yuko free, kamtosa mwajiri!!!!?
ha ha.....wanafahamu hiyo....w/end ikiwadia kila mtu ananipisha......
Orayt..... shortlyhoto:hommiw ...hebu:cell::cell::cell:oa