kUWAI KURUD NYUMBAN
kumshirikisha mipango
kumsapot anachokifanya
kudirect,kumshauri kumfanya awe rafik na sio habar za CHACHA MWITA....aiisseee mimi mwanaume azihitajiki,..
kutoa poket money...(km unayo usiwe mbahili)
usipige kaz za nje
Na kumfulia nguo za ndani?????? huku ni kuwaendekeza sasa.
Sema wewe kiazi.....
Hivi inakuwaje mwanaume ushindwe kujifulia nguo zako za ndani, wewe ukioga unarundika tu, mwenzako akufulie. Ukute ndiyo zimefuliwa na kuanikwa kwenye kamba msururu,mchana kweupeee! Fikiria unafua wakati unajua fika mwenzako katoka kwenye mechi ya nje! Kweli ndoa ni uvumilivu, lol
Na kama si mcheza mechi za ugenini! utafurahia eeh! We acha kumfulia , atafuliwa na wengine
Asante rose!!:hungry:
Ingekua poa zaidi kama wangeandaana!Sio mmoja anapendezeshwa wakati yeye hamjali mwenzake!Anajiandaa mwenyewe!kila mtu na aishi maisha yake,kuna vitu vingine havifanyiki mpendwa!
ah macho hayana pazia, napita tu...:coffee: