"Ugali hadimu Ulimwenguni"
Ndio akatukaribisha tukamsaidie nadhaniHAHAHA MBONA MWINGI SANA
hahahaaNi kama divi
Hahaha!!! Wetu wa thame! urewedi?maana n
dio thithi baba dhao na mama dhao
Daah naupenda sana huu ugali hasa uupatie mchuzi wa nguru au papa wa chukuchuku nitakula kisha mje kuniinua na winchi