vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Wapi huko au kunaitwaje mi nipo pande hizo
bibie na wewe uko msasani eeeehe... haya muelekeze sobhuza aje akupitie mkale mixer/urojo
Wapi huko au kunaitwaje mi nipo pande hizo
hahaa,mbna unaanza kuomba mahari mapema mbna?
Ndo pakurusha PM hapo kabla wachawi hawajawa wengi, jioni nikupitie tukale urojo.
NB: Sina gari, mwendo TZ11...
Naona mama mkwe ashatuelewa, wewe tu ndo unaleta matata Charminggirl...
Toba yilai, mwanangu Charminggirl, umeona eh????
Aah mama mkwe? wivu hadi kwa dada zangu, mi kwa mwanao nishagota ivo, sibanduki sibanduliwi.
Naona mama mkwe ashatuelewa, wewe tu ndo unaleta matata Charminggirl...
mh,hakuna matata km katoa ruksa. "Vodacom"kazi ni kwako!
Kuna mwenzio hapo juu anaalikwa kwenda kula urojo mwanangu, ye kasema Yule ni dadake! Kazi ni kwako! Isije ikawa ni Zantel, twanga kotekote!!
Ma mkwe vipi tena, mbona kisebusebu? Mwanao hana shaka, nishamtambulisha kwa mawifize...