CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Wala sio visiwani.
Chimbo liko hapahapa jijini, Msasani mkabala na kanisa la KKKT. Kama vipi liunge...
Samahani mama mkwe, niwie radhi, niko chini ya miguu yako.
Unaomba samahani mikono mitupu? Vipi bahasha?
Hakuna kaka, hapa kuna juisi ya ukwaju tu.
hahaa,mbna unaanza kuomba mahari mapema mbna?
weeeee umepataja nyumbani kabisaaaa.... kwa upande gani hapo huo mtaa wa nyuma mkirikiti/ matunda au hapo kwa mama shobo....ehehehe...
vanmedy unaweza kuwa alumni wangu Msasani, chimbo liko hapa kwa huyu mpemba just opposite na kanisa, jirani na hii phamarcy ya kighorofa.
Mkirikiti ilikuwa enzi zile kuna singenge,? miksa kwa Mbela, unakumbuka?
sobhuza Nza Kushaya we.........Uko warmly welcomed Charminggirl.
Tshepo uzimkhaba ya Mzanzi, takupeleka huko siku moja, namaanisha Afrika Kusini. Si utaenda mrembo?
yani we wahome100% jamaa angu...hadi kwa mbela na singenge zake unazijua...ukisogea mbele castle...ruva...makamba jeki unarudi magunia...ogopa mbwa mwitu akina juma kijo,amiri kise,godi chababa,,tadeo... mwanangu marehemu ndumusa n.k..
mi niko mkoa but next week ill be in dar/home kobil/msikitini hapo...
vipi twende pm au tutomboke humuhumu??
rama nimesoma nae darasa moja kabla hajaacha shule..msasani primary school.. sasa hivi anashinda beach kama samaki vile...halafu babake anauwezo fresh tu...daaah maisha haya... we uko pande za wapi kwa huko...familia bora matozi akina abass kuka..blanc ignass...deo...msafiri.. hehehe hapo unaitafuta shoppers..daaah long tiiiiime..Godi chababa msela wangu kitambo kabla hajaacha shule then akatupwa segerea, kina Sheby na Rama Mabruki je? Camp Familia bora...
rama nimesoma nae darasa moja kabla hajaacha shule..msasani primary school.. sasa hivi anashinda beach kama samaki vile...halafu babake anauwezo fresh tu...daaah maisha haya... we uko pande za wapi kwa huko...familia bora matozi akina abass kuka..blanc ignass...deo...msafiri.. hehehe hapo unaitafuta shoppers..daaah long tiiiiime..
We acha tu kaka, karibu clas langu lote aidha mateja au malaya wa kutupwa, kina Mtejangi, Pendo Kanyala, Asha na Hawa, Zainab, Neema na Upendo...
Wala sio visiwani.
Chimbo liko hapahapa jijini, Msasani mkabala na kanisa la KKKT. Kama vipi liunge...