mdau kazini
hata wewe bwana waikora waitu karibu baba mulokoziBebii sasa huo utani kwa hao jamaa.Wapi Rweye.. Wapi Mushobozi,Wapi Kamugisha,Wapi Kokubanza,Wapi Kokwenda,Wapi Nyamwiza..Wapi Muganyizi,Mujuni,Mulokozi,Luteganya...MAMBO YA LUBISI HAYO.Mbakasinge waitu....
Hapo kwenye red..Aika Kadada bebii..hata wewe bwana waikora waitu karibu baba mulokozi
hope mmeamka vema hatumuoni huku kabisa
Vifaa vyilivyopo hapo ni:Obwato,Obugwi,Omwitizo,Ebikeni na kinachopatika hapo bado siyo lubisi ila kinaitwa Omulamba..then kesho yake ndo kinaitwa LUBISI tehtehhhhh...
Kizamu zamu dada...
toa comment bebii hapo.Jamaa wanjihaanda kupata lubisi.Muulize Ndibalem wa JF anajua sana mabo hayo au Rweye..
yupi bebii?Ambaye hajavaa viatu?hiyo inaiotwa swiit home hv hiyo miguu ya huyo jamaa imethibitishwa na tbs mkuu?
Bebii sasa huo utani kwa hao jamaa.Wapi Rweye.. Wapi Mushobozi,Wapi Kamugisha,Wapi Kokubanza,Wapi Kokwenda,Wapi Nyamwiza..Wapi Muganyizi,Mujuni,Mulokozi,Luteganya...MAMBO YA LUBISI HAYO.Mbakasinge waitu....