Karibuni muanze kutafuta viwanja.

Ringo Edmund

JF-Expert Member
May 10, 2010
4,879
1,125
Wadau karibuni muanze kutafuta viwanja 2050 si mbali.
 

Attachments

  • moshi[1].jpg
    moshi[1].jpg
    33.1 KB · Views: 852
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Bas Dar kutakuwa na Train za umeme zinatembea juu kwa juu. Umenifurahisha sana
 
nifanyie mpango lakini kiwanja changu kiwe marangu ndo poa...............lakini siyo marangu mtoni.
 
watu wanaokaa Dar na hawajawahi kutoka Tz utawajua tuu,kila kitu Tz wanaona ni dar.mara huo ni mradi wa dar mara dar kutakua na treni za umeme...
muwe mnatembea mnatoa ushamba,unaona dar kama ndo mbinguni
Dar kwa Tanzania tuu ukitoka Tz Dar si kitu chochote,Halafu Dar haitaprosper forever,another city shall rise in the future
 
a day dream
attachment.php

Kweli its a day dream!!!
Nimepita Moshi about 2 weeks ago nikitokea Singida,Arusha then Moshi.
Moshi is definately NOT changing.
It is as if it has stunted, and refused to grow.
Bado ni mji ule ule wa zamani na haibadiliki.

Tofauti sana sana na Arusha ambayo kila kukicha inabadilika.
Sababu?
Utaambiwa wenyeji wa Moshi hawapendi kuuza ardhi kwa wawekezaji wa nje, na hivyo basi kufukuza uwekezaji.
Pole Moshi, but is this true?
 
Kweli its a day dream!!!
Nimepita Moshi about 2 weeks ago nikitokea Singida,Arusha then Moshi.
Moshi is definately NOT changing.
It is as if it has stunted, and refused to grow.
Bado ni mji ule ule wa zamani na haibadiliki.

Tofauti sana sana na Arusha ambayo kila kukicha inabadilika.
Sababu?
Utaambiwa wenyeji wa Moshi hawapendi kuuza ardhi kwa wawekezaji wa nje, na hivyo basi kufukuza uwekezaji.
Pole Moshi, but is this true?

Mzee Ndesa alilalamika bungeni wakati anajadili budget ya Pinda kuwa pale Moshi kuna mwanamama mmoja mkurugenzi wa Manispaa ni jeuri kiasi kwamba hafuati maagizo ya madiwani hivyo angefaa kuondolewa; alishangaa kwanini huyo mama mwenye miaka zaidi ya 60 alikuwa anapewa mkataba wa kuendelea ingawa utendaji wake ni duni!! Pengine ndio maana Moshi haiendelei kwa magamba kumuweka mkurugenzi Moshi afifishe maendeleo!!Hizo ndio mbinu zao, kule Mbeya walimuweka Mwakipesile kama RC ; kwa muda wote aliokaa katika wadhifa ule kazi yake kubwa ilikuwa ni kubaka maendeleo ya Mkoa wa Mbeya!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom