Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,209
- 78,123
..chama la mabachela ukinipenda,tunamaliza leo leo tu....
.
.
..chama la mabachela ukinipenda,tunamaliza leo leo tu....
.
...bebii...hata siamini..nitakupiga.....
Usinambie kama nanihiii keshakupiga chini....Kata rufaa bhana!...chama la mabachela ukinipenda,tunamaliza leo leo tu....
.
...nanii nani..?...Usinambie kama nanihiii keshakupiga chini....Kata rufaa bhana!.
...umeona kazi hii...Aje upesi nna haraka
nitakupiga.....
...umeona kazi hii...
...bebii...hata siamini..
bora umuulize.....ili kama ni kutangaza....kila mtu atangaze.....tena mimi naenda kule love connect.....tuone nani ataanza kupata.....
hivi kabla hujatangaza umeshapata,hivi naandika naona unachelewa kutangaza.harakisha basi aah...bora umuulize.....ili kama ni kutangaza....kila mtu atangaze.....tena mimi naenda kule love connect.....tuone nani ataanza kupata.....
mfumo jike huo.Ruttashobolwa ole wako nikuone unaingia humu kwenye hili Chama.
Na ndo mana nataka uwe unatembea na Cheti chetu cha Ndoa.
Wala huna haja ya kwenda huko hapahapa panatosha,hebu kwanza twende kwenye Zoo yetu kule nataka nikupe tabia za Nungunugu katika mapenzi,si unajua wamejaa miiba mwili mzima sasa jiulize wanapeanaje..??