devotha kato
Member
- Jul 10, 2012
- 5
- 1
Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 30,natafuta mwenza kupitia jukwaa hili.Sifa nizitakazo kwa huyo mwenzi awe na muonekano mzuri tu na awe nakipato walau chakujikimu yeye mwenyewe kama una mtoto walau mmoja au wawili si mbaya sana hapa tunaweza kusaidiana kulea.Mimi nimeajiriwa hapa Dar na nina muonekano mzuri.
Yeyote aliye na uhitaji kama wangu kwa kumaanisha anaweza kuniPM au anaweza kutumia devothakato@hotmail.co
nasisitiza kama huna huitaji plizzz usisumbue,,,,,naahidi kujibu kila email itakayotumwa.
Yeyote aliye na uhitaji kama wangu kwa kumaanisha anaweza kuniPM au anaweza kutumia devothakato@hotmail.co
nasisitiza kama huna huitaji plizzz usisumbue,,,,,naahidi kujibu kila email itakayotumwa.