Bunju karibu sana na naweza kukuleteaWap unapatikana
Nakupm tuwasiliane niupate leoBunju karibu sana na naweza kukuletea
KaribuNakupm tuwasiliane niupate leo
GHARAMA!!!Karibu
Kilo elf 10 mbichi na mkavu g 75 elf 10 karibuGHARAMA!!!
bei ni hyo hyo hata kama nitahitaji unifikishie hapa nilipo?Kilo elf 10 mbichi na mkavu g 75 elf 10 karibu
Delivery elfu 3 labda km unachukuwa kilo zaid y 5bei ni hyo hyo hata kama nitahitaji unifikishie hapa nilipo?
Kilo elf 10 mkuubei ndo mhm au bure mwenzetu?
Unataka gram ngapi mkuu?Bei iko juu kwa mkavu maana supermarket g50 ni elf 5 napenda sana hiyo kitu
Uyoga unatengenezwa vipi.naomba kupewa somoHabari wakuu uyoga unapatikana hapa mbichi na mkavu karibuni sn
Mkuu hili nidarasa unalipia pesa kupata mafunzoUyoga unatengenezwa vipi.naomba kupewa somo
Darasa nalipata wap?Mkuu hili nidarasa unalipia pesa kupata mafunzo
Kunamwalimu yupo njoo pmDarasa nalipata wap?
Hata Mimi nimeshawahi kulima Uyoga. Bei inaweza kupungua iwapo italimwa kwenye large scale. Lakini kwenye small scale haiwezekani ikawa ndogo. Kinachosababisha watu washindwe kulima large scale sababu hakuna soko LA uhakika sana kutokana na uelewa mdogo wa watu wanaotakiwa kuwa soko. Kingine thamani ya kitu inatokana na ubora wa kitu chenyewe kulinganisha na kingine kinachoshindana nacho (substitute). Uyoga huandaliwa katika mazingira ya umakini mkubwa kiasi kwamba kosa moja hasara yake ni kubwa sana ndio maana being huwa Juu kwa kiwango hicho.Alafu nyie walima uyoga mnatakiamtafute mbinu ya kushusha gharama za uzalishaji kama zipo juu na pia kushusha Bei. Uyoga ni substitute product ya nyama, maharage na karanga. Na kwenye nyama hapo kuna nyama ya mbuzi, kuku, Nguruwe na Ng'ombe. Sasa kwa hiyo bei yenu ya Shillingi Elfu kumi kwa gram 100 mnaona mpo sahihi!? Kwanini msije fanya upembuzi yakinifu na mje na bei ambayo Middle Class wataimudu bila shida na wakisha zoea na kufanya uyoga kuwa sehemu ya mlo wao ndio muanze kupandisha kidogo kidogo.