mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
vip alipopabusu ni kweli kulijengwa piramidiMimi nilimwona maimoria kilimanjaro ilikuwa balaah
vip alipopabusu ni kweli kulijengwa piramidiMimi nilimwona maimoria kilimanjaro ilikuwa balaah
Inapatikana pale st. Joseph cathedral posta DarNitaipate hii album youtube haziko
Ila kwaya nzuri sana niliyoipenda kuhu ujio wa Papa ni ile ya Parokia ya Mt. Maxmilian Kolbe Mwenge, ile nayo ilikuwa funga kazi. Kama unayo ni PM niinunueNipe kama wiki tatu N itakuwa na hizo CD tutazungumza biashara
tumpokee kwa shangwe kwaya ya Mt. Cecilia ya MwengeIla kwaya nzuri sana niliyoipenda kuhu ujio wa Papa ni ile ya Parokia ya Mt. Maxmilian Kolbe Mwenge, ile nayo ilikuwa funga kazi. Kama unayo ni PM niinunue
Ndio hao ambao nahitaji CD yao kama ipo sokonitumpokee kwa shangwe kwaya ya Mt. Cecilia ya Mwenge
Amina. Tumsifu Yesu Kristu.Ulinzi wako , mzazi mtakatifu wa MUNGU usitunyime tukiomba katika shida zetu utuokoe Siku zote
kila tuingiapo hatarini ewe bikira mtukufu mwenye Baraka AMINA
Ilikuwa nzuri sana mpaka machozi yamenitokatumpokee kwa shangwe kwaya ya Mt. Cecilia ya Mwenge
Binafsi nilifaidika na ujio ule wa papa kwa kupata kitabu kilichotolewa na kanisa katoliki kikielezea historia ya mapapa toka wa kwanza hadi huyo John II.Hayo ndio unayopata katika mafunzo ya uchawi?
Nilibahatika kupata cd ya Karibu TanzaniaHapa kwenye simu ninao wa Nimtume nani nashindwa kupost albamu ipo ila mfumo wa Tape.
Daah umenikumbusha mbali sana ndugu.Mwaka 1990 Kanisa Katoliki nchini Tanzania lilipatwa na ugeni kutoka VATICAN.
Papa YOHANE PAULO WA PILI alidhuru Tanzania. Kanisa Katoliki Tanzania liliandaa kwaya Maalumu kwa ajili ya kumpokea Kiongozi huyo wa Kanisa Kubwa Duniani.
Ukiondoa Albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS , OYSTERBAY iliyotokwa mwaka 1992, Albamu ya " KARIBU TANZANIA BABA YETU YOHANE PAULO WA PILI " inachukuliwa kama albamu bora kabisa ya kwaya kupata kutokea katika Historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania .
Innocent Mushi ( Mtunzi wa wimbo wa MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ambao ndio ulibeba albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS OYSTERBAY ) anasema " Kwa makuzi bora ya kimwili, kiakili na kiroho, kila familia ya kikatoliki inapaswa kuwa na albamu hii ( KARIBU TANZANIA...) ambayo inatakiwa kuwa inapigwa kila siku usiku watoto wasikilize.
Albamu hii ilikuwa na nyimbo 16 ambazo ni
1. Kristu Mashinda - Christus Vincit (Traditional)
2. Wewe Ndiwe Petro - S. Mujwahuki
3. Utukufu na Ukuu - J. Mgandu
4. Bwana Mfalme - J. Mgandu
5. Mimi Nimewachagua Ninyi - Fr. Malema
6. Roho Yangu - E. Nyundo
7. Bahati Gani Ee Ndugu - C. Matui
8. Umeniita Bwana - J. Simya
9. Bwana Yesu Waniita - Fr. S. Mutajwaha
10. Nimtume Nani - Fr. Ntapambata
11. Ninyi Nimewaita Rafiki - J. Mgandu
12. Nimemkuta Daudi - Fr. Ntapambata
13. Nendeni Duniani Kote - Fr. Ntapambata
14. Baba Aliwaambia Mitume - J. Simya
15. Wateule we Bwana - S. Mujwahuki
16. Ewe Mama Maria - P. F. Mwarabu.
Karibu Tanzania - YouTube
TUNAKIMBILIA ULINZI WAKO...............
Audio ipo nyimbo zote 16Asante sana mkuu,
Sijui ni kwanini nilikuwa naupuuzia uzi huu, haya ni madini adimu sana.. Big up sana, Hivi naweza kupata wapi album hii? Iwe Audio au VCD, DVD hata VHS.?
Kama inawezekana nisaidie hilo mkuu.
BACK TANGANYIKA