Karibu sana mliopangiwa Rungwe high school

Momba kumbe nawe upo kwenye anga izii.Teh Teh

Ngoja madogo waje wakutane na mziki wa Mayai pamoja na ivan
 
Vingapi? Mbona unakuwa mbabaishaji


Pale kila bed lazima mlale watu wawili juu na chini iyo yote kutokana na wanafunzi ni wengi kuliko idadi ya vitanda.Labda form five wa mwaka uu waje wachache itakuwa angalau kidogo
 
[Nankumene] bado wanaoga sasa hivi mpaka wa agrey tunaendaga kule,ila kuba choo na bafu pale mkwawa
 
@mwanjex wapo mwaka jana tulichinja mmoja nusu mgomo utokee mana nyama ilipelea,inasemekana walimu walichakachua ila mkuu alitatua tatizo ,
 
Back
Top Bottom