Karibu nyumbani waziri capt.mkuchika toka beijing...

nilienda beijing nikitokea toronto kuiona timu yetu ya tz.cha ajabu kila nilipokuwa naongea na wachezaji wanalaumu maandalizi.wanadai wamepelekwa arusha kimaandalizi wakati wakati huu beijing ni joto.ukichukulia mifano ya wachina na wamarekani wanaandaa wachezaji miaka miwili kabla.sasa bongo maandalizi ya wiki tatu jamani tutatoka?marekani imechukua medal 110 wachina medal 100.UTAVUNA ULICHOPANDA
 
........nimemaliza kuangalia mbio za marathon ambazo angalau zinatutoaga..washiriki walikuwa 98..wakajitoa 22...wamemaliza 76 ..mtanzania amekuwa wa 55[samson ramadhani]...

Karibu nyumbani waziri wa michezo na naibu katibu mkuu wa ccm, capt mkuchika amabaye uliambatana na timu yetu china...nadhani umepata muda wa kutalii...tunaomba tu airport usikimbie waandishi...au ukamsukumizia afisa wako wa chini..kama vile ulipoamua kusafiri na timu bila ulazima hukumsukumia mtu safari.....basi usikimbie mapokezi kesho kutwa airport..

..waziri wa ardhi na katibu wako mwenezi ambaye hutoa statement za kupongeza hata bba au miss kitongoji anaposhinda kama moja ya mafanikio ya sera sahihi za kikwete..tunaomba pia atoe statement ya hili la beijing..

Riadha riadha..aibu ya taifa!!!

mimi nadhani unatakiwa ujue porpose na fuction mkuchika was in the wrong place at the wrong time, wamarekani si wazuri kwa marathoni bali kwa mbio fupi, pamoja na wajamica, tanzania yenyewe ni wazuri ktk big brother mkuchika alitakiwa asindikize timu south kwenda big brother ungeona anavyo cheka pale airport.
 
you know alpha, its like this....our Tanzania is well endownwned with that calibre of wananchi that are very witty, genuine and above all Tanzanians that some guys refer to as Wadanganyika. The matter is also like this: Mwalimu strived to eradicate what Wadanganyika refer to as being, matabaka. Yet as years have gone by, and essentially without Mwalimu, Wadanganyika remain that kind of day dreamers that they can reap medals in such a competition as the Olympics without proper preparations. Sisi Wadanganyika bwana!!!! I dont intend to go furthet than this. Else read an article by Prof. Mushi in jana's Majira. Nowthen, since na sisi tumekuwa vinyozi siku hizi kwenye soka, lets say without loss of generousity that we used albino parts to excell in soccer. More albinos parts are needed for riadha. Even more for the rest of sports, and even more to move forward to that nchi without matabaka. Give me a break!!!
 
mkuu ogah, ni kweli kuwa uamuzi wa waziri mungai umetupelekea siye kuwa nyuma hivi kimchezo :confused:

tanzania24.jpg


well, if so.... The honorable gentleman should really be ashamed of himself. Sad indeed.

huyu bwana juzi ndiyo kaludi kwa mkewe anachua mchezo mmoja tu,vunja jungu basi,watoto wa mafinga wamemkoma hawa kaukoo kote kana macho ya olympic ya toto yupo charls yeye ana watoto tz nzima pia hwa jamaa wakisha tu ukoo umekwisha kwani wengi wa vijana wao wameondoka na ngoma cukulia keneth huyu alioma ifunda nadhani huyu hakulala na mama yake tu bigwa kafa pia so hoja iko pale tz wakali wa b.brother wakiongozwa na hicho kibabu hawezi ku cotrol nyege zake huyo akaamua kufuta michezo ili watoto washoboane vizuri
 
Kulikuwa na haja ya yeye kwenda huko! Hivi alipata nafasi ya kuangalia wamerekani walivyokuwa wanajianda kwa olimpiki kabla ya kupeleka timu beijing? Tulistahili kurudi bila kitu sababu hatukujiandaa na walioshinda walistahili kushinda.

Tunatakiwa kujiandaa kuliko kutegemea shortcut, nilipata kumsikia muogeleaji wa Tanzania akihojiwa na BBC kabla ya kuondoka, alisema muda wake ambao ulikuwa nyuma ya rekodi ya olimpiki lakini halikuwa anavunja rekodi yake mwenyewe sasa kwenye mashindano watu wamekuja na rekodi mpya kabisa unategemea medali gani hapo?.

Tumejifunza michezo ni maandalizi, tujiandae kwenda London. tuache siasa wanamichezo wenyewe pia wajiandae kushinda na sio kuelezea kwanini wameshindwa muda upo wa kutosha kama kweli tunataka ushindi.
 
ni better tusingeingia gharama zozote kupeleka watu huko china hiyo hela ingesomesha yatima wangapi sijui...
its a shame wenzetu wanaanda watu wa olympics kwa miaka sie twatumia week...n yet we want to go n compete with them,
i know n believe in tz we hav got a lot of pipo with talents kibwena but the problem is we arent serious at ol,badala tujitahidi hata kwenye michezo tujulikane sie twakalia ufisadi,kuharibiana maisha na u big brazaaaa!
 
Hivi tulipata medali ngapi?

Najua Marekani inazo 110 wakati china inazo 100, Kenya inazo zaidi ya kumi, je Tanzania inazo ngapi? Nadhani hatukukosa za kuendesha baiskeli kwa vile sisi ni watumiaji wakubwa wa baiskeli tena tuliozoewa kuendesha kwenye matope. Vile vile tunaweza kuwa na zile za kurusha mishale kwani tunao wamakonde wengi wanaojua kutupa mishale kwa usahihi sana.
 
Hivi ni mwendawazimu gani aliyeamua kupiga marufuku michezo shuleni? Enzi zetu tulikuwa na kila aina ya michezo: 100 meters, 400 meters, high jump, kukimbia na magunia, na tulishindana shule kwa shule na mara nyingine hata mkoa kwa mkoa. What happened?

Huyo mtu anaitwa Joseph Mungai
 
Kuna kipindi angalau tulikuwa tunaongoza mwanzoni mwa mbio kisha tunashindwa. Ilikuwa nafuu kiasi:)
 
Basi kama michezo mashuleni hakuna tena, kuna umuhimu wa kufikiria kwenda kule Lake Eyasi kwa wabarbaig (wamang'ati). Hawa ni watupa mishale hodari sana na huwinda kwa kutumia mishale na mikuki. Wamasai nao ni hodari kwa kutumia mikuki. Wanajeshi na Polisi wetu nao, vipi siku hizi? hakuna wanaojua kulenga shabaha kwa kutumia bunduki? Matatizo tuliyoyapata Beijing yataendelea muda mrefu kwa vile mpira wa miguu ndio mchezo pekee unaoshabikiwa hapa nchini.
 
Yaani waziri alibakia huko siku zote hizi baada ya ufunguzi? Alitakiwa kuwa na next day return ticket baada ya kuwasindikiza "wanariadha" wetu. Kwanini wasingepeleka katibu tu jamani... yaani waziri mzima kwenye timu ya watu sijui wangapi vile.... :(

Ama?

Sasa kama hana kazi za maana kwenye desk lake kwa nini asile Per Diem ? Teh teh teh...!
 
Last edited by a moderator:

Naomba kutofautiana hapa.

Nadhani waTz walianza kuharibu ktk michezo (ikiwemo Olimpiki) miongo kadhaa hata kabla Mungai hajawa waziri mwenye dhamana husika.

Lazima tukubali kuwa mwanamichezo bora huanza kujengwa na familia anakotoka na wala si chama cha michezo, waziri wala wizara. Roles za hizi entities nyingine zinakuja bidae sana jamani..

Naomba tukubali kuwa kadr wakti unavyozidi kutaradad mashindano yanazidi kuwa very competitive, na nchi za watu wenye kusubiri kuvuna tusichpanda tutaendelea kuwa ashakum si matusi ..voyeurs..

Wasaalam.
 
Mungai ana shida gani.

Kenya imenyakua medali 14. Ya TZ yanamhusu nini!

Umesahau alivyoambiwa Iringa wakati wa kugombea ujumbe wa NEC?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom