Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rahema na mwingi wa kusamehe.Na tujaribu kadiri tuwezavyo kuwa katika ibada na usafi na kutegemea maghfira kutoka kwa Allah.