Ningejipiga picha?
Aaaaa ! nimejiuliza maswali mengi kidogo hapa, kwani hakuna anaeweza kukupiga picha hapo ulipo na kukupa??
au haiwezekani mtu kujipiga picha??
Vipi kuhusu kuegesha camera?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningejipiga picha?
Aaaaa ! nimejiuliza maswali mengi kidogo hapa, kwani hakuna anaeweza kukupiga picha hapo ulipo na kukupa??
au haiwezekani mtu kujipiga picha??
Vipi kuhusu kuegesha camera?
Preta sikujua kumbe na wewe wa mapijo na malori ,lazima uwe na makalio makubwa na miguu ya chupa!!
Nyenjenkuru!? ...mendeJamani pia Moshi nako mmmm sio mchezo:Angalia hapa
Mkuu na haya maporomolko ya wapi? Ni huko Tukuyu?
Nice place
Ikunda =I want something
hizi pics kama A-town vile! Nyenjenkuru, omunyakyalo or!!!?
hizi pics kama A-town vile! Nyenjenkuru, omunyakyalo or!!!?
Nyenjenkuru!? ...mende
waoh yani pazuri hadi raha, uko wenzetu ndo wanaishi kwa raha , ukiwa na stress unaenda zako tu uko kujiliwaza.RR likes this...
na nini tena nikuletee.....?