Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Nimetembelea Mwanza juzi , yaani mpaka hivi sasa wabunge wa CDM hawajafanya lolote aisee porojo kibao na fedha za kutekeleza ahadi hawana. Wana Mwanza wameingia choo cha kike safari hii aiseeeee
Ndiyo mkaamua mlete sasa haya maendeleo ya kutulisha nyama na makilikili!!Sasa hivi tumeshaamuka mkuu,kama hakuna maendeleo Mwanza basi chanzo ni ccm mlioikalia kwa miaka 35,na chaguo letu kwa sasa ni cdm,sasa kama wabunge wa cdm umeona hawajafanya lolote hilo ni juu yako ila mkakati wa wana Mwanza ni kuwa tutafanya assesment kuhusu cdm baada ya kukaa miaka 35 kama ccm