Karibu ktk sherehe za kuzaliwa CCM-Mwanza

Natamani hiyo siku ingenikuta niko huko, ningehakikisha najenga afya.
 
Kuna taarifa nimezipata kutoka mwanza kwamba chama cha mapinduzi (CCM) kimepanga kuchinja ng'ombe 50 kwa ajili ya wananchi na wanachama mbalimbali wa chama hicho ikiwa ni sehemu ya sharehe za maadhimisho hayo. Maandalizi ya sehemu ya kupikia yanaendelea nnje ya uwanja wa ccm-kirumba. Mwenye taarifa zaid atujuze. source: Mwananchi wa Kirumba- Mwanza.

Wachinje hata paka, lakini kilichowapata KANU ndicho kinachowasubiri 2015.
 
Waende na arusha wakachinje ng'ombe mia mbili ili kurejesha imani ya wana arusha kwao. Itasaidia sana 2015 aisee.
 
Kuna taarifa nimezipata kutoka mwanza kwamba chama cha mapinduzi (CCM) kimepanga kuchinja ng'ombe 50 kwa ajili ya wananchi na wanachama mbalimbali wa chama hicho ikiwa ni sehemu ya sharehe za maadhimisho hayo. Maandalizi ya sehemu ya kupikia yanaendelea nnje ya uwanja wa ccm-kirumba. Mwenye taarifa zaid atujuze. source: Mwananchi wa Kirumba- Mwanza.

Ha ha ha ha ha. Hopefully, muda si mrefu ujao itageuka "maandalizi ya sehemu ya mazishi". Tuendelee kuomba.
 
Magamba yako Mwanza yanazunguka na magari kila kona. Sherehe hizo ni kama msiba wa kuizika CCM ndani ya jiji la Mwanza. Ndani ya CCM hakuna mtu msafi hata mmoja - wanaojifanya wasafi ni wanafiki tu; wanaoambatana nao kwenye magari ni kwasabu ya njaa tu, wanavizia kesho kwenye sherehe kupewa viroba na manyama tu - kwisha habari yao, baada ya sherehe hizo wataendelea kuteseka na kula mapanki tu. Wanamwanza msimamo ni ule ule, KUWAKATAA CCM NI JUKUMU LETU SOTE! tuwe mfano wa kuigwa kwa kuwa walitudharau sana eti sisi ni akina Duh taabu - hata kama mtu ana pingu mikononi.
 
wanawaiga ANC ya Zuma nini!... ukiona hivo ujue huo ni kufikia mwisho wa ubunifu

Kwisha habari yao - CCM - wanapita mitaani wanatangaza eti Makilikili watakuwepo! Hatutaki makilikili tunataka maendeleo endelevu.
 
mi naishi machinjioni ni kweli leo ng'ombe 50 wamechinjwa kawa ajiri ya sherehe kesho jana pikipiki 100 ziliwekewa mafuta kuzunguka mitaani kuamasisha watu waweze kufika hiyo kesho ila habari zilizopo hizo nyama ni kwa ajiri ya wageni na wananchi wanaotoka nje ya jiji la mwanza
 
Mimi ntafika nitakula na kunywa,ila sitakuwa tayari kuwaazima masikio yangu kuusikiliza upupu wenu!
 
Acha kukurupuka toka usingizi wa pono!

Miji ya Songea, Mtwara, Morogoro,Tanga, Babati,Singida, Shinyanga, Tabora, Bukoba, Dodoma, Sumbawanga, Njombe, Ifakara, kote CCM inatamba
Wewe ndio umekurupuka Shinyanga ipi unayoizungumzia?unajua hesabu ya kujumlisha na kutoa?jaribu kui-aply kisha njoo na jibu,nyie nendeni tu mkafanya sherehe,maana hiyo ndio kazi yenu,kutumbua pesa huku taifa linaangamia,na ni sherehe hizo hizo ndio ziliibua hoja ya kujivua gamba,basi zitumike pia kuwaeleza wana ccm kuwa gamba ni gumu na halivuliki hata kwa maji moto,lakini pia muwaeleze wananchi jinsi serikali ilivyoishiwa hela,jinsi viongozi wanavyojichanganya kama ng'ombe eg Rais amesaini kubariki posho za wabunge-Makinda na Pinda,baadae Ikulu-Rais hajasaini.Muewaeleze ulegelege wenu wote.
Ila kuwapata kwao nadhani ndo kama mlivyowaahidi kuwaletea wasanii maarufu wa mziki na vichekesho bila kukosa Masanja,Joti na wenzao.
Je mwigulu nae atakuwepo?eeh hapo kazi kwa wake za makada
 
If i recall properly! mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mwanza alikuwa ni mfanyabiashara za magendo ya bia kutoka kenya in 80s via lake victoria shores. kweli CCM ni Chama Cha Majambazi!
Mkuu afadhali magendo Shinyanga mtunza hazina ni alikuwa jambazi ni kitu wala sio cha kutafuta kwa wakazi wa shinyanga wanajua labda mtu awe amehamia leo,na inasdikika hata leo huwa anatuma vijana,aliingia hapo kwa kuwapa msaada hao CCM-magamba na ndio maana wakamchagua nadhani anajiandaa kuja kuingia mjengoni maana ndio zao,lakini hakuna kitu watapata maana hata uchaguzi uliopita ni wizi mtupu,na kesho yanaenda kutumbua pesa huko Mwz,mijitu hii,iko siku lakini.
 
Nimetembelea Mwanza juzi , yaani mpaka hivi sasa wabunge wa CDM hawajafanya lolote aisee porojo kibao na fedha za kutekeleza ahadi hawana. Wana Mwanza wameingia choo cha kike safari hii aiseeeee

Miradi gani itatekelezeka wakati serikali imefilisika?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom