kuna nini cha maana hapo hadi tukaribie? Au unataka tujue kwamba mchina kawawekea barabara ya lami?
Nilitembelea sn eneo hilo la nchi enzi hizo nikiwa nafukuzia demu aliyekuwa hapo Ilembula hospital akiwa mwanafunzi wa chuo cha Nursing.
Na kwa jinsi nilivyo na misimamo demu huyo ndiye mke wangu pekee hadi dakika hii.
Duu Pakajimmy, mimi na wewe kitu kimoja. Nami mke wangu alipatikana hapo hapo chuoni. Ni chuo kizuri sana kw nursing.Nilitembelea sn eneo hilo la nchi enzi hizo nikiwa nafukuzia demu aliyekuwa hapo Ilembula hospital akiwa mwanafunzi wa chuo cha Nursing.
Na kwa jinsi nilivyo na misimamo demu huyo ndiye mke wangu pekee hadi dakika hii.
Kuna Mpiganaji anaitwa Nyimbo. Amefungua matawi mengi sana huko. Kila kona ukipita utakuta bendera za chama tawala kipya kijacho zikipepea.Asante kingfish mimi nimetoka kinegembas.kumbe wanging'ombe niwilaya!!!??? nikifika om nitakuja mkuu.vp CDM inaofic hukooo?
Kwa hiyo vijana wanakaribishwa wakajipatie wenzi wa maisha.Duu Pakajimmy, mimi na wewe kitu kimoja. Nami mke wangu alipatikana hapo hapo chuoni. Ni chuo kizuri sana kw nursing.