Karibu Ileje-roof of Southern Tanzania

Kuna sehemu ukitoka ikuti(mbutonga) kuelekea luswisi pana kona kali wanaiita "kona ya Mkoa"!!!Kona iko mlimani na inakata hadi nyuzi 270-330 hivi,zamani pakiwa na mvua na usafiri wa 109 (imechokaaa),abiria wenye roho nyepesi mnashuka mnaikuta gari mbele huko!!Ukikaa luswisi au sange unaiona mandhari ya tukuyu na kyela kwa uzuri mno.......natamani nipite tena ILEJE

I remember the place, ila huku mahali kuko poa kweli yani, if i were a billionare- ningejenga vacation house huko- napiga solar ya ukweli,michezo kibao ya baridi.......etc, oops when im i going to be a billionare???
 
Ila kijiji cha isoko kipo fresho umeme wanao huduma za afya fresh usafiri kwenda tunduma fuso hahahahaha sijui hadi leo bado wanatumia fuso nakumbuka fuso yenyewe ilikuwa imeandikwa tolonto watu wa huko wanajua fuso zote ni tolonto!

U surely know the place, but me too. Nmefurahii!
 
mmmhhh mmeamua mnikumbushe mbali sana, ng'ombe wa mnadani Katengele, mjini Isoko.
Nakukumbuka sana Katengele nimewahi kwenda huko miaka ya 1999, kupitia Tukuyu, KKK, Lugombo, Chuo Magereza Kiwira, Ikuti, Ruswisi, Sange hadi Katengele baadaye tukaenda Isoko na tukarudi Mbeya mjini kwa kupitia Tunduma, dah mmenikumbusha mbali, sana sana na baridi ya huko. That was so nice journey to me..
Sio Ruswisi ni Luswisi mkuu
 
Sio Ruswisi ni Luswisi mkuu

Nashukuru mkuu maana ni muda mrefu nilipita huko, ni vijiji vingi nimevisahau kwa sasa, ila ilikuwa tour nzuri sana kwangu, na ngoja nikija kuwa jirani na madesa yangu ya safari ile ntaandika kwa kirefu zaidi.
 
Bwana nimepita sehemu hizo na nikakuta barabara karibu ipotee kabisa,baada ya mvua gema likaporomoka na kukata barabara kwa nusu.
Iliwachukua hao vijana karibu nusu saa kuniconvince kupita-wakatania "wazee hawana ubaya na wewe".
Lakini huko ukiwa na roho nyepesi na udereva wa Dar hupiti.View attachment 35917

Duh!!! hii sasa ni hatari.
kumbe barabara hiyo inaweza kumkatikia mtu akiwa njiani.
 
Afrodenzi siyo uongo, hapo nikipiga picha ilikuwa around saa 8 mchana lakini ilibidi nikimbilie kwenye gari baada ya kupiga picha.
Its so cold
Pale ni temperate climate na hayo majani yana vumilia freezing point(below 0 degress).
Wakati wa baridi huwa kuna theluji hapo-miti inakauka.
Hiyo baridi iliyoko Ileje haishindi ya Kitulo - Makete Mkuu. Kuna baridi huko mpaka maji yanageuka jiwe la barafu.
 
Hapana mkuu, kuna uzushi ulisambazwa kuwa kule ni kwenu, bahati mbaya msemaji wako akasahau kukanusha ili raia tuupuuze.

Heshima yako lakini.

ha ha ha.......miss you tho......nini shida......wapi tatizo..............?
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom