Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Umemtoa kafara nani baba au mama au mwanao?
hapo vipi?
View attachment 47547
Dalili za umaskini ni kama hizi..kutamani vitu visivyo wezekana..fanya kazi weweee..!
Dalili za umaskini ni kama hizi..kutamani vitu visivyo wezekana..fanya kazi weweee..!
Lazima damu itakuwa imemwagika hapomawzo gani hayo bana?sura nyeusi hadi roho yako bana
Lazima damu itakuwa imemwagika hapo
Gheto lako liko wapi nije?@ Saint Ivuga
kwa nini iwe lazima..acha kuamini kwenye nguvu za giza wewe ..nyie ndio mnaoua albino
unakuja kweli au unabeep
Hapana mkuu watu wengi hufanya kafara ili wapate mapene nimejaribu kuexpress mawazo ya waafrika.