Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
- Thread starter
- #81
mhhhhhh nimekosa la kusema kwa kweli...lol
Hebu tafakari upya .........utapata tu maneno!
mhhhhhh nimekosa la kusema kwa kweli...lol
Lol.....una kesi wewe kama mambo yenyewe ndiyo yale....hahaha
Shukurani!
Kwa JF Sofa DOM KAIZER......................kwa kuwakimbia wageni na kunikamisha U sofa kinyemela! Nime enjoy POSITION yako chief!
Kwa Kamati ya mapokezi HUSINYO....................aiase sikuamini yale "maua" uliyomwandalia mgeni wetu The Finest, sijui na mi nitoke kidogo halafu uje unikaribishe kivileeee!
Naruhusiwa kuchuma UA mojawapo......lol!
Mkuu unanitonesha kidonda asiee hahaha....nimeongea na Husninyo nipate eneo la kuwekeza nitakuwa namlipa mrahaba wa aslimia 50 kila mwezi...lolShukurani!
Kwa JF Sofa DOM KAIZER......................kwa kuwakimbia wageni na kunikamisha U sofa kinyemela! Nime enjoy POSITION yako chief!
Kwa Kamati ya mapokezi HUSINYO....................aiase sikuamini yale "maua" uliyomwandalia mgeni wetu The Finest, sijui na mi nitoke kidogo halafu uje unikaribishe kivileeee!
Naruhusiwa kuchuma UA mojawapo......lol!
Ugonjwa wa Moyo saa zingine sio lazima hadi uende hospitali ukatibiwe...lolhahahahaha! Nimekuona ulivyokuwa unang'aa sharubu. Lol
Mwambie asiyaguse Jumatatu naenda ofisi ya Waziri Mkuu kuyachukulia kibalihahahahaha! Ile ni special offer kwa TF, yaani TF tu. Lol. Maua ukiyachuma utaharibu mazingira mj.
hahahahaha! Ile ni special offer kwa TF, yaani TF tu. Lol. Maua ukiyachuma utaharibu mazingira mj.
mmmmmhhhhh haya bana lakini hala hala mti na jicho,hope pharmacy za dodoma zina vitendea kazi vya kutosha!
nitakupokea kwa mikono na miguu.
mhhhhhh nimekosa la kusema kwa kweli...lol
Smile hebu onana na Husninyo kuna zawadi zako...kumbe tf mbunge? all the best mjengoni tf
Ugonjwa wa Moyo saa zingine sio lazima hadi uende hospitali ukatibiwe...lol
nipe mwenyewe bwanaSmile hebu onana na Husninyo kuna zawadi zako...
Maskini Jeuri alikupigia simu uje Dodoma Hotel ukaingia mitiniMbona mm hamkunipitia jamani? Nilikuwa chako ni chako
Mbona mm hamkunipitia jamani? Nilikuwa chako ni chako
kumbe upo dodoma hotel nakuja hapo sasa hvMaskini Jeuri alikupigia simu uje Dodoma Hotel ukaingia mitini
Kongosho umemsahau Bishanga ni mzee wa fitina...lolha ha ha ha, babu bwana, nimekukubeli. Point noted and taken, next time itakuwa mti na pua
sharti la kupokea wageni kwa miguu isiwe myembamba sana, ikiwa myembamba sana ina tabia ya kupungia watu thru madirishani.
Unaweza ukaitia 'nzuri jirani' ukidhani unapungiwa mkono kumbe ni miguu inapepea tu