Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

mbona jibu rahis 2,graduate weng wa sua ni cheap labour,kwa hyo waajiri wengi wanapenda kuwa2mia kwa sababu wanawalipa kidogo.
hamna kitu hapa cheap labour kwa maana gani? Tangazo linatoka let say kazi ya loan officer, inapigwa interview mtu wa sua ana qualify kwa post, cheap labour ikoje, cjakuelewa
 
Nilikuwa sijui kumbe kwenye ofisi moja wanaweza lipwa viwango tofauti na wengine , nimeipata hii kali kuliko zote, nafikiri ulikuwa huna jibu sahihi hukusitairi kujibu
sua hamna pa kwenda bana,tusidanganyane,yan unataka kunambia m2 umesomea mizizi uende kuajiriwa bank alafu ulipwe sawa na m2 mwenye profesional yake ya banking..haingii akilin kabisa.
 
hamna kitu hapa cheap labour kwa maana gani? Tangazo linatoka let say kazi ya loan officer, inapigwa interview mtu wa sua ana qualify kwa post, cheap labour ikoje, cjakuelewa
waajiri wengi hasa ktk banking industry wanapenda kuwa2mia kwa sababu wanajua wataingia gharama kdogo kuwapeleka kwenye job training,then watawalipa kidogo{mfano hai,yupo ndugu yangu anakamatishwa 420000 pale Nmb} thn waajiri wanajua wakimuajiri m2 wa sua watakaa nae mda mrefu kuliko m2 mwenye profesional yake kutoka udsm,ifm na kwngne ambao huwakimbia pindi wanapoona hakuna maslahi mazuri,hvo basi wasuaso hubaki kuwa cheap labour ktk taasisi mbalimbali.
 
Sasa hiyo si kwa watu wa sua sehemu nyingi ipo.......hata kama umemaliza sehemu nyingine apart from SUA
waajiri wengi hasa ktk banking industry wanapenda kuwa2mia kwa sababu wanajua wataingia gharama kdogo kuwapeleka kwenye job training,then watawalipa kidogo{mfano hai,yupo ndugu yangu anakamatishwa 420000 pale Nmb} thn waajiri wanajua wakimuajiri m2 wa sua watakaa nae mda mrefu kuliko m2 mwenye profesional yake kutoka udsm,ifm na kwngne ambao huwakimbia pindi wanapoona hakuna maslahi mazuri,hvo basi wasuaso hubaki kuwa cheap labour ktk taasisi mbalimbali.
 
Nakifahamu vizuri chuo cha Sokoine na ninaweza kufafanua kwa nn mtoa hoja ana wasiwasi na popularity ya hiki chuo midomoni mwa watu. Kwa ufupi ni kwamba Sokoine ni chuo kikuu cha kilimo na masomo ya Kilimo yana nature ya science ambayo yanaogopwa na watu wengi sana nchini. Umaarufu wa chuo hiki ni mkubwa sana kitaaluma kwani kina idadi kubwa sana ya maprofesa na madokta ukifananisha na chuo kama Mzumbe na pia kuna researcher wazuri sana pale SUA waliobobea haswa kwenye tafiti za kisayansi Pia walimu wengi wa Mzumbe kwa sasa wanasoma PhD SUA na UDSM kwa hiyo ukiangalia vizuri utagundua kuwa SUA inategemewa sana hata kutoa elimu kwa taasisi nyingine. Vyuo kama Mzumbe, IFM n.k vinasikika sana kwa kuwa watu wengi ambao ni waoga wa masomo ya science wanakimbilia kule hasa wanawake hivyo utakuta kwa mtu mvivu wa kufikiri anaweza kuona ni vyuo maarufu kwa kuwa kuna watoto wengi wa wakubwa na watu wanaotaka uraisi kimasomo hasa waliopo makazini upendelea sn vyuo hivi Idadi ya PhD holders SUA ni 256 na Mzumbe ni 22 hapo nadhani unapata picha ya ubora wa chuo achilia mbali takwimu iliyotolewa hapo juu ambayo inaonyesha kuwa SUA ni chuo kikubwa tu Africa

Mchango wako mzuri ila umenibore hapo kwenye nyekundu tu.
 
sua hamna pa kwenda bana,tusidanganyane,yan unataka kunambia m2 umesomea mizizi uende kuajiriwa bank alafu ulipwe sawa na m2 mwenye profesional yake ya banking..haingii akilin kabisa.

No research no right to speek, fanya utafiti kwanza ndo utoe hoja dhaifu hizo, nikikwambia uweke CV yako humu na ya hao unaosema wanasoma mizizi wengi watakupiga chini, hayo ni maneno ya mfa maji, haingii akilini mfano CRDB unakuta kati ya wafanyakazi wanaozidi 800 zaidi ya 200 ni toka SUA na mmelizika tu hao waliosomea mizizi wanachukua nafasi zenu
 
No research no right to speek, fanya utafiti kwanza ndo utoe hoja dhaifu hizo, nikikwambia uweke CV yako humu na ya hao unaosema wanasoma mizizi wengi watakupiga chini, hayo ni maneno ya mfa maji, haingii akilini mfano CRDB unakuta kati ya wafanyakazi wanaozidi 800 zaidi ya 200 ni toka SUA na mmelizika tu hao waliosomea mizizi wanachukua nafasi zenu
na wewe msuaso nin mkuu?
 
Ukiwa SUA huwa muda wa umaarufu utaupata wapi? Pale kuna kazi moja tu Kusoma au kuliwa kichwa mwisho wa temu! Sasa ukifananisha na UDM au Mzumbe au IFM unakosea kabisaa.

Kwanza SUA wengi na wanaume na kina dada waliopo pale wamekua anti -social ili kuendana nahali halisi ya kimasomo, siyo vyuo vingine bwana unalala kule, kesho pale kesho kutwa kule halafu kichwa hakiliwi.

Jaribu SUA uone moto wake! Kwa hiyo ni kweli SUA siyo maarufu kwa kwenda disco, makongamano ya siasa, na mengine yasiokua na tija kwa wakati ukiwa chuoni ila ni maarufu sana kwenye ulingo wa sciencie ya kilimo, na tafiti mbalimbali kama ulivyoonyeshwa kwenye orodha ya vyuo duniani, Umeona IFM? Au Mzumbe?
 
na wewe msuaso nin mkuu?

Mimi ni msuaso, nilipokuwa na first degree nimeanzia kufanya kazi na Iternational Organization miaka mitatu. Nilipo hamia serikalini, na kwenyewe nikawa nimewekwa juu vibaya mno. Tuende mbele turudi nyuma, watu wengi hawaifahamu SUA vizuri na ndo sababu tunaendeleza mjadala huu namna hii.

Huwezi ukahitimisha watu wanasoma mizizi na matunda tu, ile ni tasisi kubwa Degree program zaidi ya 25, kupata ajira nzuri au mbaya ni suala la soko la ajira linasemaje, wewe unafikiri mimi nikiwa Program Officer kati yangu na Mhasibu nani atakuwa "Boss"
 
Huwezi kuisikia SUA kama vyuo vingine.Miaka michache iliyopita darasa moja ilikuwa haizidi wanafunzi 70. Huwezi hata kudodge maana lecturer anamfahamu kila mtu. Linganisha na vyuo vingine ambavyo darasa moja ni mtu 1,000 na usheee. Wanafunzi wengi hawapenda course za sayansi ndo maana wanakimbilia vyuo vingine.Wahitimu wako vizuri sana kwenye kazi huwezi kulipinga hata wanapofanya postgraduate studies wanaperform vizuri sana. Wahitimu wa SUA kupata admission na scholarship abroad siyo issue maana wanaheshimika. Nenda Belgium, Uholanzi, Sweden, Scandinavian countries utapata jibu. Swala la cheap labour si kweli hata kidogo.
 
hakuna kinachofanyika pale zaidi ya siasa 2 mkuu.

Nakubaliana na wewe. Wazazi wangu ni wakulima wa matunda. Tumejaribu kutafuta research papers za maembe, machungwa ambayo walinunua sua kakuna kitu. Ilibidi tutafute from websites za kilimo kenya. Hii ni aibu sana, wakati huu wa utandawazi chuo cha kilimo hakiwezi kuwasaidia wakulima.
 
It might be surplisingly mtu wa SUA anayefanya kazi bank akaifanya in a very nice way(after a little bit of trainings) kuliko wewe mwenye professional yako! Sijajua tu kama SUA wana kozi gani ambazo hata wasiweze kufanya kazi bank!!ni mfano tu!!
 
SUA is redundant university! Wanafunzi wanakwenda kusoma kule kama kutimiza wajibu baada ya kumaliza masomo ya Form Six. Hatimaye wakishamaliza waakuta kuwa hayo waliyosoma hayahitajiki kwenye jamii hii ya Ki-Tanzania, na hali hii inapelekea watafute ajira za cheap labour kwenye kazi za fani za biashara.

Mimi sioni mchango wao uko wapi hao munaowaita maprofesa wa SUA wakati nchi iliyojaaliwa ardhi nzuri yenye rutuba kama hii bado sehemu mbalimbali za nchi watu wanakufa kwa njaa kwa sababu ya ukosefu wa chakula. Unaweza kufanya tafiti ya 'Namna Vipepeo wanavyopeana mimba na Kuzaa kwa kutumia vumbivumbi la majani ya kijani" then SUA watakupa PhD lakini utaisaidia vipi nchi hii iondokane na janga lanjaa kwa kutumia tafiti hiyo? Naona watu wanashabikia idadi ya PhD na Maprofesa waliopo SUA lakini wanasahau kuwa wanaofanyakazi huko vijijini ni wahitimu wa ngazi za vyeti katika vyuo vya Uyole, Mpwapwa, Ukiriguru. PhD haina maana kama huwezi kuifanyia vitu ambavyo ni tangible.

Kama degree za SUA ni marketable basi tungewaona wahitimu wao wakijikita katika maeneo yanayoendana na fani zao? Wale Maprofesa wa SUA wako selfish kwani walipaswa waishauri Serikali ibadili jina kutoka Sokoine University of Agriculture na kuwa 'SOKOINE UNIVERSITY" ili chuo kifundishe Agriculture kama kilimo, na kifungue macho kwa kozi zingine ile kiongeze soko kwa wahitimu wake. Mimi nikiwa mwajiri lazima nitampa graduate wa SUA raqw deal katika same position na graduate wa UDSM, IFM au Mzumbe wanapo qualify kufanya kazi kama credit officers kwenye bank
 
SUA is redundant university! Wanafunzi wanakwenda kusoma kule kama kutimiza wajibu baada ya kumaliza masomo ya Form Six. Hatimaye wakishamaliza waakuta kuwa hayo waliyosoma hayahitajiki kwenye jamii hii ya Ki-Tanzania, na hali hii inapelekea watafute ajira za cheap labour kwenye kazi za fani za biashara.Mimi sioni mchango wao uko wapi hao munaowaita maprofesa wa SUA wakati nchi iliyojaaliwa ardhi nzuri yenye rutuba kama hii bado sehemu mbalimbali za nchi watu wanakufa kwa njaa kwa sababu ya ukosefu wa chakula. Unaweza kufanya tafiti ya 'Namna Vipepeo wanavyopeana mimba na Kuzaa kwa kutumia vumbivumbi la majani ya kijani" then SUA watakupa PhD lakini utaisaidia vipi nchi hii iondokane na janga lanjaa kwa kutumia tafiti hiyo? Naona watu wanashabikia idadi ya PhD na Maprofesa waliopo SUA lakini wanasahau kuwa wanaofanyakazi huko vijijini ni wahitimu wa ngazi za vyeti katika vyuo vya Uyole, Mpwapwa, Ukiriguru. PhD haina maana kama huwezi kuifanyia vitu ambavyo ni tangible.Kama degree za SUA ni marketable basi tungewaona wahitimu wao wakijikita katika maeneo yanayoendana na fani zao? Wale Maprofesa wa SUA wako selfish kwani walipaswa waishauri Serikali ibadili jina kutoka Sokoine University of Agriculture na kuwa 'SOKOINE UNIVERSITY" ili chuo kifundishe Agriculture kama kilimo, na kifungue macho kwa kozi zingine ile kiongeze soko kwa wahitimu wake. Mimi nikiwa mwajiri lazima nitampa graduate wa SUA raqw deal katika same position na graduate wa UDSM, IFM au Mzumbe wanapo qualify kufanya kazi kama credit officers kwenye bank
bora nawe umeliona hilo mkuu,me nawaambia kwa kozi zao wanazosoma ni dhahiri hawana ubavu wa kupambana na graduate wa udsm,mzumbe,ifm na iaa,wao wanantolea ranking za vyuo bora africa,hawajui kuwa chuo kuwa bora co kwamba ndo graduate wake wanauzika,huo ubora wa research zao umeleta mabadiliko gan ya kimaendeleo ktk jamii ya watz,wao waendelee kusoma mizizi yao 2,wenzao wa ud,mu na ifm wataendelea kupeta 2 ktk market.
 
Natoa changamoto kwa wahitimu wote wa SUA kwenye convocation council ya mwaka huu wakati wa Graduation waje na hoja ya kubadili jina la chuo kutoka Sokoine University of Agriculture kuja kwenye jina lolote ali mradi neno Sokoine na neno University yabakie. Hicho kitu kinaitwa Agricultue kiwe deleted permanently mpaka kwenye recycle bin.

Dhambi kubwa ya kunyanyapaliwa ma graduate wa SUA ni jina la chuo chao tu wala si uwezo wao wa kufanya mitihani na kupasi kwa viwango vya juu, ninajua uwezo wa maprofesa wao na tafiti mbalimbali kama vile kutumia panya katika kutambua mabomu ya ardhini, kutumia panya katika kutambua vimelea vya ugonjwa wa TB kwenye makohozi. Kimsingi hata malecturer wa vyuo vingine kama Mzumbe wanasoma pale PHD zao mbalimbali. Kinachotakiwa ni kwenda na wakati, wasipotoa hilo neno SUA wataendelea kuwatesa wahitimu wao milele.
 
Natoa changamoto kwa wahitimu wote wa SUA kwenye convocation council ya mwaka huu wakati wa Graduation waje na hoja ya kubadili jina la chuo kutoka Sokoine University of Agriculture kuja kwenye jina lolote ali mradi neno Sokoine na neno University yabakie. Hicho kitu kinaitwa Agricultue kiwe deleted permanently mpaka kwenye recycle bin.Dhambi kubwa ya kunyanyapaliwa ma graduate wa SUA ni jina la chuo chao tu wala si uwezo wao wa kufanya mitihani na kupasi kwa viwango vya juu, ninajua uwezo wa maprofesa wao na tafiti mbalimbali kama vile kutumia panya katika kutambua mabomu ya ardhini, kutumia panya katika kutambua vimelea vya ugonjwa wa TB kwenye makohozi. Kimsingi hata malecturer wa vyuo vingine kama Mzumbe wanasoma pale PHD zao mbalimbali. Kinachotakiwa ni kwenda na wakati, wasipotoa hilo neno SUA wataendelea kuwatesa wahitimu wao milele.
wenzako wameridhika na kuwa mabank teller mkuu.
 
.Kama degree za SUA ni marketable basi tungewaona wahitimu wao wakijikita katika maeneo yanayoendana na fani zao? Wale Maprofesa wa SUA wako selfish kwani walipaswa waishauri Serikali ibadili jina kutoka Sokoine University of Agriculture na kuwa 'SOKOINE UNIVERSITY" ili chuo kifundishe Agriculture kama kilimo, na kifungue macho kwa kozi zingine ile kiongeze soko kwa wahitimu wake. Mimi nikiwa mwajiri lazima nitampa graduate wa SUA raqw deal katika same position na graduate wa UDSM, IFM au Mzumbe wanapo qualify kufanya kazi kama credit officers kwenye bank

Hivi wahitimu wote wa vyuo vingine huwa wanafanya kazi zinazoendena na field zao? Hivi unataka kusema all bank tellers ni graduates wa SUA?Je kama graduates wa SUA wanafanya kazi za field za watu wa UDS, IFM, TIA,etc, je wahitimu wa vyuo hivi wanaweza kufanya kazi za field ya graduate wa SUA.Kuhusu matumizi ya research findings za SUA kuwa hazitumiki, je ni vyuo gani ambazo tafiti zake zinatumika? Hili ni tatizo la taifa kutokuthamini research findings. Kama hata findings za tume mbalimbali zinazoundwa huwa zinawewkwa kapuni itakuwa research?
Kuhusu jina tatizo ni nini?Kwa mwajiri anayeangalia jina then ndo aajiri definately atakuwa mentatlly challenged. Jina linahusiana vipi na uwezo wa graduates? Kwani TIA, IFM na IAA wanatoa kozi ya accountacy tu? Mbona kuna information technology na nyinginezo? Napata shida kuhusu uwezo wako wa kupambanua mambo.
 
bora nawe umeliona hilo mkuu,me nawaambia kwa kozi zao wanazosoma ni dhahiri hawana ubavu wa kupambana na graduate wa udsm,mzumbe,ifm na iaa,wao wanantolea ranking za vyuo bora africa,hawajui kuwa chuo kuwa bora co kwamba ndo graduate wake wanauzika,huo ubora wa research zao umeleta mabadiliko gan ya kimaendeleo ktk jamii ya watz,wao waendelee kusoma mizizi yao 2,wenzao wa ud,mu na ifm wataendelea kupeta 2 ktk market.

Unataka washindane kwenye fani gani?Course nyingi za SUA Mara nyingi hazitolewi na vyuo vingine sasa huo mchuano sijui utakuwa wapi.Kama mpambano ni wa bank tellers kama watu wanayorefer na mtu wa SUA akampita mtu aliyesoma kozi za biashara hapo unasemaje? Na je unaonaje graduates wa SUA wanapofanya MBA kuwaburuza baadhi ya waliosoma biashara?? Hivi kwa mfano Price water C. wanapochukua fresh graduates ina maana mtu wa SUA analipwa tofauti na mtu aliyemaliza let say B.Com? Hivi mtu ambaye hajawahi kusikia kitu kinaitwa credit and debt side akaweza kufanya auditing pengine hata kumzidi mtu aliyesoma uhasibu unalionaje hilo? Na akiweza kupata CPA/ACCA akawaacha hao wengine ni vipi hapo??
 
Back
Top Bottom