Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Habari wana Jf,
karibu MIGAMBA YOTE ambyo bado wapo CCM.
Aircdm tiketi zinaelekea kuisha,wale wote munaosuasua muda ndio huu.Ikifika 2014 hatutakuwa tayari kukubali gamba lolote lile.January,nape,shigela,bashe{huyu anaogopa kibarua kwa rostam kitaota chasi}.
karibu MIGAMBA YOTE ambyo bado wapo CCM.
Aircdm tiketi zinaelekea kuisha,wale wote munaosuasua muda ndio huu.Ikifika 2014 hatutakuwa tayari kukubali gamba lolote lile.January,nape,shigela,bashe{huyu anaogopa kibarua kwa rostam kitaota chasi}.