ujue huu niwakati wa kuwa wakweli.kwakuwa tunakubaliana kuwa wanaoharibu makanisa hawatekelezi uislam bali ushenzi wao tu,sasa sisi waislam tunawashaurini wakristo,mkimwona mdudu yeyote anasogelea kanisa lenu na mkahakikisha ni mharibifu basi tiini sheria bila shurti ki kwelikweli.wakristo tusiwe wanyonge kiasi cha kushindwa kutetea mali zetu zisiharibiwe. Kulinda na kuzuia uharibifu wa mali zetu si dhambi, umefika wakati wa kupambana ili kulinda mali zetu na sio kwenda kupigana nao kwenye misikiti yao. Kwa maana kwamba kama unawaona wanakuja kanisani na kuanza kuharibu ni sawa kabisa kupamba nao. Ukristo si ujinga.
unaeleza waislamu wa jana sasa tuna kina ponda, wapemba, uamsho, bokoharamu...! Uwe mpole kama Huwa lakini mwerevu kama Nyoka! Hiyo formular Bwana Yesu ametufundisha ni wakati wake kuitumia!Mkuu acha uongo basi mbona mnapenda kukuza mambo hili Kanisa lina miaka hapo Kariakoo lipo katikati ya nyumba za Waislam hapo mtaa wa Masasi, Lukoma, na Magila na Lukoma, miaka yote wanaishi kwa upendo acha kusambaza chuki.
Wakuu tumepiga kambi hapa kanisani kwetu Kariakoo Lutheran baada ya walinzi wetu kuomba waongezewe nguvu kwa kuwa wanahisi kuna watu wanataka kuchoma moto kanisa hili
sisi kama washarika na wafadhili wakubwa wa kanisa letu tumeamua kupiga kambi kila mtu akiwa tayari kupambana ili kuzuia mali zetu zisiharibiwe na hao waabudu shetani
kiongozi mmoja wa kanisa letu amekuja na kutuonya tusitumie silaha kupambana na hao waabudu nanihii eti akidai Yesu alisema mtu akikupiga shavu la kushoto haraka sana mgeuzie na la kulia
kwa kweli kama hali ndiyo hiyo ya wakristo kuchomewa makanisa yao ambayo wao wenyewe ndio wafadhili na wajenzi itakuwa ni jambo la kushangaza kwa sababu wanaumia wenyewe
naomba kuuliza tangu lini mungu akawa rafiki wa watu dhaifu????kwa nini wakristo tunakaa kimya tusijibu mapigo??tutaonewa mpaka lini silaha na elimu sisi ndio tumerithi kwa baba zetu
huu ukondoo sikubaliani nao hata kidogo
Wakuu tumepiga kambi hapa kanisani kwetu Kariakoo Lutheran baada ya walinzi wetu kuomba waongezewe nguvu kwa kuwa wanahisi kuna watu wanataka kuchoma moto kanisa hili
sisi kama washarika na wafadhili wakubwa wa kanisa letu tumeamua kupiga kambi kila mtu akiwa tayari kupambana ili kuzuia mali zetu zisiharibiwe na hao waabudu shetani
kiongozi mmoja wa kanisa letu amekuja na kutuonya tusitumie silaha kupambana na hao waabudu nanihii eti akidai Yesu alisema mtu akikupiga shavu la kushoto haraka sana mgeuzie na la kulia
kwa kweli kama hali ndiyo hiyo ya wakristo kuchomewa makanisa yao ambayo wao wenyewe ndio wafadhili na wajenzi itakuwa ni jambo la kushangaza kwa sababu wanaumia wenyewe
naomba kuuliza tangu lini mungu akawa rafiki wa watu dhaifu????kwa nini wakristo tunakaa kimya tusijibu mapigo??tutaonewa mpaka lini silaha na elimu sisi ndio tumerithi kwa baba zetu
huu ukondoo sikubaliani nao hata kidogo
Biblia inatufundisha Upendo, Kusamehe na Kuvumiliana. Quran inawafundisha jino kwa jino. Hapo ndo kuna tofauti SANA
Kuna haja mmoja akikamatwa achomwe au wakristu nao waanze choma misikiti
c mlisema mungu wenu anaongea na kuwapigania? vuta subira tu mkuu bwana wenu atawalipia!
Kuwa mkristu maana yake ni kuwapenda watu wengine wakiwemo adui zako. Kwani ukiwapenda jamaa na rafiki zako tu, ndivyo hata mtenda dhambi hufanya. Kwa hiyo Jino kwa Jino siyo njia nzuri kwani unayepambana naye yu gizani. Sala na maombi ndo yataepusha hizi vurugu.
kuna haja kwa vyombo vya usalama kufanya continous suivalance kwenye misikiti ambayo ndio hasa breeding ground ya hawa terrorist..hii ni early stage tu ikiachwa uncontrolled it will escalate kwenye stage nyingine kama suicide bombs na millitia groups..kuna matatizo mengine ya kuadress kama poverty hasa miongoni mwa vijana ambao wamepoteza matumaini na wako tayari kufanya lolote ili kuonyesha hasira zao..hii laana itawala viongozi wa nchi hii ambao wameshindwa kutoa matumaini kwa watu wao.
Tuliza mzuka na tumia busara. Hao shetani wasikupeleke wanapotaka uende. Mmetoa taarifa polisi watoe ulinzi?