Nawasihi tulizeni jaziba wala msichukue jukumu lolote la kuchukua sheria mkononi na wala msitumie silaha zozote katika kupambana nao toeni taarifa polisi kwa msaada zaidi. Njia pekee tunayoiamini sisi wakristo ni kufunga na kuomba nasi tuko pamoja nanyi katika maombi Mungu wetu ni mwaminifu sana hajawahi kushindwa na kamwe hata shindwa atatushindia katika hili. Amen